Baada ya Mishangazi kushika kasi sio vibaya tukajua sifa kuu za mshangazi.
1. Awe single.
2. Awe kaachika au mjane.
3. Awe mweupee.
4. Awe na pesa.
5. Awe mnene.
Baada ya hayo, niwatakie kila la heri mishangazi yote.
Jamaa alikuwa anatamba sana na IST mpya kabisa, apartment kali. Sasa jamaa kajichanganya alikuwa na mtu wake sahihi huyu mshangazi alikuwa anamvuna tu.
Swali langu kwenu wakuu kwanini mishangazi inapenda vijana wa makamo?
Wakuu, unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana, halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda vibaya.
Hapa mi namaanisha mishangazi ya kuanzia miaka 45 na kuendelea.
Naenda kwenye point moja kwa moja. Jamani kama wewe ni mtu mwenye kupendelea kupendeza nyakati zote basi huna budi kumfikia huyu jamaa Location ni Mbezi beach Afrikana pia popote ulipo kwa Dar es Salaam basi ni huduma itakufikia na utapendeza ni kijana safi mwenye anaejitafuta basi hatuna...
Aisee inasemekana mtangazi mmoja wa wachafu tv bwana x pesa alizokuwa anahongwa na mshangazi ambaye anaishi majuu ametumia kuhonga au kulipia mahari kwa wale watu wa covid 19 upande wa singida ndiyo maana jamaa kwa sasa route za majuu zimekata kutokana na mshangazi amekata kutoa fund raise kwa...
Shalom shalom. Mwanamke aliyenizidi umri ananitaka mana nilikuwa nikimsalimia shikamoo anakwepa, ni limwalim wa secondary kanizidi kama miaka 15 hivi. muda wote anataka kuchat usipochat ananuna.
Ushauri wenu wanazengo