moses ali

Moses Ali (born 5 April 1939) is a Ugandan lawyer, politician and retired military officer. He is the current Second Deputy Prime Minister and Deputy Leader of Government Business in Parliament.
He previously served in the Cabinet of Uganda as Third Deputy Prime Minister and Deputy Leader of Government Business from May 2011 until June 2016. He also served as the first First Deputy Prime Minister from June 2016 to May 2021. He has served as the elected Member of Parliament for East Moyo County in Adjumani District since 2011.

View More On Wikipedia.org
  1. Miss Zomboko

    Mahakama kuu yaombwa kumwondolea Sifa za Kugombea Ubunge Moses Ali

    Kampala, Uganda Ombi limewasilishwa katika Mahakama Kuu ya Uganda kutaka kumwondolea sifa mwanasiasa mkongwe na aliyekuwa Waziri wa Fedha chini ya utawala wa Idi Amin, Mheshimiwa Jenerali Moses Ali, asigombee nafasi ya Ubunge (Adjumani West County), likitaja madai ya kutokuwa na uwezo wa...
  2. E

    Mjue Jenerali Moses Ali anayewania ubunge akiwa na miaka 86 Uganda

    Juni 18, 2025 kwenye mitandao ya jamii kulikuwa na video inayosambaa ikimwonyesha Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya chama cha NRM, Dk Tanga Odoi akimkabidhi fomu ya kugombea ubunge Jenerali Moses Ali (86) akiwa kwenye gari lake. Kutokana na hali yake ya afya na umri mkubwa, Jenerali Ali...
  3. Ziroseventytwo

    Moses Alli, Naibu waziri mkuu wa uganda ana miaka 88. Africa nani katuroga?

    Kwa sasa ana miaka 88. Bodo yupo serekalini kama naibu waziri mkuu huko Uganda Aliwahi kuwa Mwanajeshi. Ni mwanasheria kitaalam na mwanasiasa. Kwa sasa anaonekana kabisa ana shida kubwa ya kiafya inayopelekea kuwa kama zezeta na mwili wake umekosa balance kiasi cha kushindwa kutulia anapokuwa...
Back
Top Bottom