mohamed kawaida

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. McLaren

    Mwenyekiti UVCCM: Waliohamasisha kuandamana wanatumia misiba ya watu kufanyia siasa

    Anaandika Mohamed Kawaida kupitia Ukurasa wake wa Instagram Waliohamasisha kuandamana wao hawakuonekana kwenye maandamano, sasa hivi wanatumia misiba ya watu waliowatoa muhanga kufanyia siasa na kupandikiza chuki. Tunahitaji kuacha kutumika kama zana za kisiasa na badala yake tuungane kama...
  2. R

    GE2025 Kawaida: Wenzetu wamekubali kushindwa ndo maana wanapanga Maandamano, tuhamasishane Oktoba 29 tukatiki

    Akizungumza wakati akifunga kampeni katika Jimbo la Makunduchi ambapo Mkutano huo uLIfanyika katika uwanja wa Muungoni Mkoa wa Kusini Unguja, Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi UVCCM Taifa Cde. Kawaida amewataka wananchi wa Makunduchi na Watanzania kwa ujumla kuendelea...
  3. Its Tesha

    GE2025 Kawaida: Polepole ameamua kuichezesha familia, madai ya kutekwa ni kuishiwa mbinu za kuichafua dola

    Ameandika Chawa wa CCM na Mwenyekiti umoja wa vijana wa UVCCM Mohamed Kawaida Kupitia ukurasa wake wa Instagram. My take Taifa lina kijana kama huyu ambaye uwezo wake wakufikiria umeishia hapa hakika mwisho wake sio mzuri. "Inaelekea Polepole ameamua kuichezesha familia yake filamu...
  4. Tajiri wa kinyankole

    Je, Polepole yupo salama post aliyoiachia Mohamed Kawaida huko mtandaoni inatia mashaka huku wengine wakisema done

    Kwa siasa za Tanzania na mambo ambayo amekuwa akiyatolea taarifa polepole kwa nyakati tofauti tofauti lazima kuwepo kwa mashaka makubwa. kwani huyu mtu amekuwa akilalamika kutafutwa kwa lengo la kumdhuru mara nyingi na watu ambao binafisi yeye hakusema ni vyombo vya dola, post kama ya mohamed...
  5. mwanamwana

    Mohamed Kawaida: Kila kiongozi akiamua kujiuzulu kwa misingi ya maumivu ya nafsi, hatutokuwa na uongozi

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Mohamed Kawaida amesema kama kila Kiongozi akijiuzulu kwa misingi ya maumivu ya nafsi hakutokuwa na Uongozi wa Taasisi bali wa hisia huku akimwambia Humphrey Polepole aliyejiuzulu Ubalozi wa Cuba kwamba hisia za Mtu binafsi...
  6. R

    PreGE2025 Mohamed Kawaida: Vyama 18 vipo tayari kushiriki uchaguzi, tuchague viongozi wanaotoka CCM, October tunatiki

    Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Mohammed Ali Kawaida (MCC) amesema kuwa vyama 18 kati ya 19 vya siasa vimeridhia kushiriki Uchaguzi ifikapo Oktoba 2025 ambapo ametaka Chama Cha Mapinduzi kuwa miongoni mwa vyama hivyo Aidha, ameongezea kwa kusema `sauti ya wengi ni sauti ya Mungu' huku akihusianisha...
  7. W

    PreGE2025 Kawaida amshukia Askofu Gwajima: Hukushinda kura za maoni ila chama kikakuamini ila unashindwa kurudisha imani ya chama

    Kupitia ukurasa wake wa instagram, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Mohamed Kawaida ameandika "Umeahidi wananchi umeshindwa kutekeleza, licha ya kuwa kura za maoni hukuongoza Chama kikaamuwa kukuamini ila leo umeshindwa kurudisha imani ya Chama na Wananchi na zikiwa zimebaki siku chache kwenda kwenye...
  8. W

    PreGE2025 Kawaida atinga na 'greda' Msalala kuhutubia wananchi

    Kijana ana vimbwanga sana === Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohammed Ali Kawaida (MCC) amehutubia maelfu ya Wananchi wa Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga akiingia kwa staili ya pekee ya kutumia greda ambalo mara nyingi hutumika katika utengenezaji wa barabara. Kawaida...
  9. W

    PreGE2025 Kawaida: Tuwakate viongozi wanaotaka kuigawa CCM

    Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohammed Ali Kawaida (MCC) amewahimiza wanachama wa CCM kudumisha umoja kuelekea Uchaguzi Mkuu na kuwakataa viongozi ambao wanawagawa na kuleta mpasuko kwa Wanachama. Kawaida ameyasema hayo Mei 03, 2025 akihutubia maelfu ya Wakazi wa Wilaya ya Kahama katika mkutano wa...
  10. Just Pray

    PreGE2025 Mohamed Kawaida: Napohamasisha vijana kugombea, napata upinzani mkubwa kutoka kwa baadhi ya wabunge, Sitarudi nyuma

    Akiwa kwenye Mkutano wa hadhara, Wilaya ya Itilima Mkoa wa Simiyu, Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi UVCCM, Mohamed Kawaida ameapa kuwa hatorudi nyuma katika kuhamasisha vijana kujitokeza kwa wingi kuwania nafasi za Udiwani na Ubunge katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, licha...
  11. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mapokezi ya Mwenyekiti wa UVCCM, Mohamed Kawaida, mkoani Geita yameniacha hoi!

    Jamaani kilichonifurahisha hapo ni aina ya mapokezi yakiongozwa na usafiri pendwa kanda ya ziwa Mapokezi ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mohamed Kawaida mkoani Geita.
  12. W

    PreGE2025 Kawaida: Nitavitaja vyama vinavyofadhili vijana kufanya vurugu

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana ya Chama Cha Mapinduzi UVCCM, Mohamed Kawaida ameeleza kuwa anazo taarifa za baadhi ya asasi za kiraia na vyama vya siasa vinavyowapeleka Vijana wa Kitanzania kwenye mafunzo nje ya nchi ili kuwaandaa kuja kuwa sababu ya machafuko na vurugu ndani ya nchi, akieleza...
  13. W

    Kawaida: Adui wa Muungano ni adui wa Taifa

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Mohammed Ali Kawaida, amesema kuwa tarehe 26 Aprili 1964, wazee wetu walichanganya udongo kama ishara ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, hatua iliyozaliwa taifa moja la Tanzania. Ameongeza kuwa vizazi...
  14. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mwenyekiti UVCCM Mohamed Kawaida: Vijana msitumike kuvuruga amani ya nchi tuliyonayo kuelekea uchaguzi 2025

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana ya Chama Cha Mapinduzi UVCCM Taifa, CDE. Mohamed Kawaida amewataka Vijana nchini kutojiusisha na kuvuruga amani ya nchi tuliyonayo katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 2025. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila...
  15. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mohammed Kawaida: Sina mpango wa kugombea Ubunge kwani nataka nikitumikie chama changu cha CCM

    Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Mohammed Kawaida amesema kwasasa hana mpango wowote wa kugombea Ubunge kwani anataka akitumikie Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread...
  16. J

    PreGE2025 Kawaida awasihi vijana wote kushiriki uchaguzi mkuu

    ✳️ KAWAIDA AWASIHI VIJANA WOTE KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC) amewakaribisha vijana wote Tanzania katika Chama Cha Mapinduzi ili wapate nafasi ya kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 na Kuichaguwa CCM katika nafasi ya Urais, Ubunge na...
  17. W

    PreGE2025 Mohamed Kawaida: Vijana CHADEMA wanataka kushiriki uchaguzi

    Mwenyekiti wa Umoja wa vijana CCM taifa (UVCCM), CDE Mohamed Kawaida amekiri kupokea malalamiko kutoka kwa vijana wa CHADEMA wakilalamikia kunyimwa haki ya kuchagua na chama chao kwa kitendo cha kugoma kutia saini kanuni za maadili ya uchaguzi. "Chama chochote cha siasa ambacho hakifanyi...
  18. Just Pray

    Kufuatia video inayohusu tukio la utekaji Mohammed Kawaida asema ni movie kama movie zingine zenye lengo la kupata huruma kwa wananchi

    Mwenyekiti wa UVCCM Mohammed Kawaida kupitia mtandao wa Instagram akijibu post ya Twaha Mwaipaya ambaye alichapisha video iliyorekodiwa katika eneo la Kiluvya Madukani jijini Dar es salaam ambapo inaonesha tukio la utekaji ambalo halikufanikiwa, Kawaida amesema "Hii ni movie kama movie nyengine...
Back
Top Bottom