"Nabii" ni neno la Kiswahili lenye maana ya mjumbe au msemaji kwa niaba ya Mungu
Chalamila anamuweka samia kundi moja na watu kama Yohana Mbatizaji na wakina Musa.
Hapa ndio wanaosema hakuna Mungu wanapokua na point, Kama kweli Mungu yupo, kwa damu aliomwaga anaruhusu vipi hizi dharau...
Wakazi wa Kipunguni A na Kipunguni Mashariki(Dar es salaam) tunasumbuliwa na kelele za sauti kubwa ya mziki unaopigwa na JAKICHA MOTEL.
Tulishapeleka malalamiko yetu katika vikao vya serikali ya mtaa lakini wamekuwa wakitoa majibu yasioridhisha.
Tangu 2022 mpaka leo, wanaothirika ni majirani...
Anonymous
Thread
kelele
mkuuwamkoadar
mziki
ofisi ya makamu wa rais
wizara ya afya
Wakuu, kuna uhitaji au ulazima wowote wa kujenga ofisi mpya za mkuu wa mkoa wa Dar es salaam zikiwa zimetolewa bilioni sita sasa, Ofisi zilizopo sasa zina changamoto gani mpaka kutaka kujenga ofisi mpya?
==
Serikali imetoa fedha shilingi Bilioni sita, kwa ajili ya kujenga ofisi mpya ya Mkuu wa...
My Take
Hii mikutano iwe inapelekwa Arusha na Zanzibar ndiko hakuna uhaba wa Hoteli,hapo Dar kumejaa ma Bar na Hoteli za Kawaida ambazo Hazina hadhi ya Kimataifa.
==
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kufanikisha mkutano wa wakuu wa nchi za...
Hii inatoa picha Gani kwa taifa? Je kitendo kilichofanyika ni kitendo Cha kiungwana?
Mkuu wa mkoa anapata wapi ujasiri wa kuzungumza hadharani kuwa mama mjamzito akakatwe kisu na mumewe nyumbani?
Anapata wapi mandatory ya kuzungumzia rushwa hadharani?
Kwanini Rais ambaye ni mfariji namba...
Wakuu,
Akizungumza hivi karibuni, Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Albert Chalamila amesema kuwa yuko mbioni kuhakikisha kuwa biashara zinafanyika Dar Es Salaam masaa 24.
Chalamila amesema kuwa tayari wameshaanza mchakato wa kuweka taa maalum za usiku pamoja na CCTV Camera ili kuongeza usalama...
Ndugu zangu Watanzania,
Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mheshimiwa Albert Chalamila akizungumza hivi leo.kuwa uongozi wa Mkoa upo Tayari kuwajibika Ikigundulika kuwa kuna uzembe umefanyika katika kuwaokoa wale waliokuwa wameangukiwa na jengo na hatimaye kupoteza Maisha...
Licha ya kuwa Viongozi wengi wa Kiserikali wamekuwa mstari wa mbele katika kusisitiza usafi kwenye mazingira ya ofisini na hata kwenye makazi ya watu lakini upande mwingine wapo ambao huwa wanasahau kujitazama wao.
Hivi ndivyo hali ilivyo katika Vyoo vilivyopo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es...
Wakuu,
Chalamila anazidi kuonekana hamna kitu kichwani, haya matapeli tukalinde amani ya nchi ili tuzidi kuapata wa kuwatapeli! 🤦♂️🤦♂️🤦♂️
Job true true!
Kamati ya maboresho ya Soko la Simu 2000 chini ya mwenyekiti wake pamoja na wafanyabiashara na wadau wa stendi wa Simu 2000 wameongea na waandishi wa habari leo Julai 17, 2024 kuhusu yaliyojiri tangu kumaliza kikao chao na mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila.
Mosi, mwenyekiti amesema wafanyabiashara...
Chama cha Mapinduzi (CCM), kimeunga mkono hatua ya wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo kuandamana kwenda ofisi ndogo za chama hicho, kikisema walikwenda mahali sahihi kwani hakiwezi kujitenga na changamoto za wananchi.
Chanzo cha kauli hiyo ni maandamano yaliyofanywa na wafanyabiashara zaidi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.