Huyu DC Kwa muda wake mwingi amefanya Shughuli za kisiasa , ukiachilia mbali Hilo, Taaluma yake na masuala ya Umeme ni Mbingu na Ardhi.
Soma Pia: Uteuzi na Uhamisho: Razaro Twange aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Ubungo ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji TANESCO
Hiyo 9, 10 ni Uzoefu wa kuendesha...
Kwa wale mnaofanya kazi na mashirika ya kimataifa bila shaka mnajua sheria kali sana za Ulaya kuhusu rushwa, au dalili za kutoa rushwa au 10%, hasa kwenye mambo ya tenda. Ni wakali sana.
Kwa kampuni za Ulaya hata kama ziko nchi kama Tanzania, ikionekana kuna kiashiria chochote cha rushwa kwenye...
Naweza kusema katika inshu za uchaguzi mkuu, watu wakali zaidi na ambao sio wa kuchezewa ni wabunge ambao kimsingi wao hudhani Fikrani kuwa majimbo wanayoongoza ni Mali Binafsi kitu ambacho si cha kweli na mtu yeyote ambaye ataonekana kutaka jimbo hilo basi lolote limkute.
Pia katika Uwizi...
Wakuu,
Ajali iliyoenda na maisha ya Mkurugenzi Mtendaji TANESCO Gissima Hanga pamoja na dereva wake imeibua maswali mengi zaidi ya kile kilichosababisha ajali hiyo.
Pia soma TANZIA - Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamo-Hanga na dereva wake wafariki dunia
Wananchi wamefukunyua na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.