mkono wa eid

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Just Pray

    PreGE2025 Rais Samia atoa mkono wa Eid El Fitri Mbeya kwa watoto wenye uhitaji maalum

    Mkuu wa mkoa wa Mbeya amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kutoa mkono wa Eid El Fitri kwa watoto wenye uhitaji maalum kwenye makao ya watoto 23 mkoani humo, Bidhaa mbalimbali zimetolewa ikiwemo mchele, unga, mbuzi, mafuta ya kupikia na vinywaji...
  2. Waufukweni

    PreGE2025 Rais Dkt. Mwinyi atoa mkono wa Eid kwa wenye mahitaji maalum Zanzibar

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi ametoa mkono wa Eid El Fitr kwa Wananchi wenye mahitaji Maalum wakiwemo Yatima, Wajane, Wazee na watu wenye ulemavu katika Viwanja vya Ikulu Zanzibar, tarehe 31 Machi 2025. Aidha, Rais Dkt.Mwinyi baada ya kutoka...
  3. Waufukweni

    PreGE2025 Rais samia atoa mkono wa heri kwa watoto wenye mahitaji maalum Iringa

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa mkono wa heri kwa watoto katika vituo vya kulea watoto wenye mahitaji maalum na wanaoishi katika Mazingira magumu Mkoani hapa kwa kugawa Sadaka ya vyakula ikiwemo Mbuzi, Mchele, Mafuta ya kupikia, unga, sabuni za kuogea...
  4. W

    PreGE2025 Rais Samia atoa mkono wa Eid kwa watoto yatima Kagera

    Ikiwa yamesalia masaa machache kuelekea sikukuu ya Eid Al- Fitri ikiashiria kutamatika kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani, Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa mkono wa Eid kwa vituo vyote vya kulelea Watoto mkoani Kagera hapo jana tarehe 29/03/2025. Taarifa...
  5. Cute Wife

    PreGE2025 DC Kubecha afuturisha na kutoa mkono wa Eid kwenye vituo vya kuelela watoto yatima

    Wakuu, Aloo, kila sehemu ni 'sadaka' tu, afu mwishoni unasikia Samia ametuhimiza tuwe na moyo safi... ni huzuni:BearLaugh::BearLaugh: ==== Mkuu wa wilaya ya Tanga Japhari Kubecha Kueleka Kumaliza mwezi Mtukufu wa Ramadhan Amefuturisha na Kutoa mkono wa Eid kwenye Vituo vya Watoto wenye...
  6. Cute Wife

    PreGE2025 Chalamila atoa mkono wa Eid kwa watoto wenye uhitaji

    Wakuu, Viongozi wanachangamkia kuonekana wema si mchezo! === Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amekabidhi Sadaka ya vyakula iliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwenye vituo mbalimbali vya makao ya watoto wenye uhitaji kwa ajili ya...
  7. Waufukweni

    PreGE2025 DC Kilakala atoa futari na mkono wa Eid kwa wafungwa Wanawake Morogoro

    Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mussa Kilakala, ametoa msaada wa vyakula vya futari na Eid kwa wafungwa wa Gereza la Wanawake Kingolwira na Gereza la Mahabusu Morogoro. Akizungumza baada ya kupokea msaada huo, Mkuu wa Gereza la Wanawake Kingolwira, SP Atupelye Luwanja, alimshukuru DC Kilakala kwa...
  8. Waufukweni

    DAWASA yatoa mkono wa Eid kwa makundi ya Wahitaji Kijitonyama

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) katika hatua ya kujali na kuthamini makundi maalumu katika jamii, imetoa msaada wa mahitaji ya kibinadamu katika kituo cha Makao ya Kulea Watoto Yatima, kilichopo mtaa wa Nzasa, Kata ya Kijitonyama Wilaya ya Ubungo. Hatua hii ni...
  9. Erythrocyte

    Hizi Bahasha anazogawa Rais wa Zanzibar zina nini?

    Bismillah Rahman Raheem. Mwenye kufahamu atujulishe ili labda kama zina neema yoyote basi tumuombee dua, ama kama ni vipeperushi vya ccm tuachane naye. Wabhillah Tawfiq.
Back
Top Bottom