mke wa rais

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Mke wa rais wa zamani wa Ivory Coast ateuliwa kuwania urais Oktoba 25, 2025

    Mke wa Rais wa zamani wa Ivory Coast Simone Gbagbo (76), ameonekana katika orodha ya Wagombea watano walioidhinishwa rasmi kugombea katika Uchaguzi wa Rais mwezi ujao. Atakabiliana na Rais Alassane Ouattara (83), ambaye alichukua mamlaka baada ya yeye na mume wake wa zamani, Laurent Gbagbo...
  2. R

    Mke wa Rais wa zamani wa Korea Kusini akamatwa kwa madai ya kupokea rushwa na kuingilia Chaguzi

    Mke wa aliyekua rais wa Korea Kusini, Kim Keon Hee, amekamatwa baada ya Agosti 12, 2025 usiku mahakama kutoa hati ya kumtia mbaroni kufuatia tuhuma za ufisadi ambazo yeye amezikanusha, kwa mujibu wa mwendesha mashtaka maalum anayeongoza uchunguzi huo. Soma pia: Mke wa Rais wa zamani Korea...
  3. R

    Mke wa Rais wa zamani Korea Kusini anakabiliwa na kesi ya tuhuma za Ufisadi

    Mke wa aliyekua Rais wa Korea Kusini, Kim Keon Hee, alifika mahakamani kusikiliza kesi inayomkabili kilichodumu saa tano, lakini hakimu hajatoa uamuzi kuhusu ombi la waendesha mashtaka la kutaka kibali cha kumkamata kwa tuhuma za ufisadi Anakabiliwa na mashtaka yanayoweza kumfunga miaka kadhaa...
Back
Top Bottom