MKUU wa Wilaya ya Rorya, Simon Odunga amepiga marufuku uchomaji mkaa wilayani humo na kuonya serikali itawachukulia hatua kali baadhi ya wazazi wanaotumikisha watoto wadogo katika shughuli hizo.
Mkuu huyo wa wilaya ametoa agizo hilo wakati wilaya hiyo ikianzisha mkakati maalum wa utunzaji...