Kwanza nitoe pongezi za dhati kwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuunda kikosi kazi kinachoshughulikia kero za wanufaika wa huduma ya maji,hapa namaanisha wateja waliounganishiwa huduma ya maji.Baadhi ya kero ni kama uhalali wa bili,miundombinu nk
Kikosi kazi hiki kinaundwa...
Hili suala lipo serious sana.Kwa ujumla eneo la Nyasura lina idadi kubwa sana ya wahalifu.Awali walijikita katika kuiba na kupora mali za raia ila kwa sasa hali imekuwa tofauti kabisa.
Kundi hili la wahalifu na vibaka wameanza kuvizia na kushambulia wanafunzi.Kila walipo hutembea na visu...
Katika kuzurura kwangu nikakatiza Halmashauri ya mji wa Bunda kata ya Guta kijiji cha Nyabehu katika shule ya msingi Nyabehu, Aibu niliyokutana nayo katika shule hii ni aibu mbaya kwa Halmashauri ya mji ya Bunda, kwenye shule hii tangu kuanzishwa kwake hakuna huduma ya maji hali inayopelekea...
Wilaya ya Bunda Ina halmashauri kuu mbili, halmashauri ya wilaya na ile halmashauri ya mji wa Bunda. Wilaya hii Ina majimbo matatu ya uchaguzi; Bunda mjini, Mwibara na Bunda vijijni..
KISIASA
Wilaya ya Bunda inatawaliwa zaidi na siasa za vyama viwili, CCM na Chadema. Japo tangu Sintofahamu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.