misaada ya wafadhili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Wafanyabiashara tuliodhani siasa hazituhusu tuanze kujipanga kisaikolojia. Yajayo ni kasheshe

    nchi nyingi hasa za Ulaya ambazo zimekuwa wafadhili wakuu—zimeripotiwa kusitisha au kupunguza misaada kwa Tanzania. Na tukubaliane, misaada hii ingawa si haki ya kudumu, imekuwa chanzo muhimu sana kwenye pesa zinazotumika kwajili ya matumizi ya viongozi (mfano kununua V8 za ofisini), kulipa...
  2. Replica

    PostGE2025 Wafadhili waanza kung'ata: EU wapiga kura na kuzuia Euro Milioni 156 kwa Tanzania

    Kamati ya Bunge ya mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya imepiga kura ambapo kura 53 zimeunga mkono pendekezo la kusitisha Euro Milioni 156 kwenye mpango kazi wa Tanzania kwa mwaka 2026 huku kura mbili pekee zikiamua kwenda tofauti. Mwenyekiti wa kamati hiyo, David McAllister amesema Tanzania imeamua...
Back
Top Bottom