Kwa mujibu wa wa kifungu cha 60 & 63 cha Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Toleo Namba 44 la 2023 kusambaza taarifa binafsi kuhusu migogoro ya kifamilia ya watu bila idhini ya wahusika ni kukiuka haki ya faragha.
Na iwapo ukapatikana na hatia kwa mtu binafsi anapaswa kulipa faini isiyopungua...
Jeshi la Polisi nchini Tanzania limetoa ufafanuzi kuhusu matukio ya utekaji na kupotea kwa watu ambayo yamekuwa yakiripotiwa mara kwa mara katika vituo vya polisi ambapo kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa kwa kina, imebainika kuwa si matukio yote yanayotokana na uhalifu wa kweli, bali mengine...
Msongo wa mawazo ni hali ya mfadhaiko wa kiakili ambao hujitokeza ghafla pale ambapo mtu anapokuwa na shida, tatizo,au kikwazo chochote ambacho hana uwezo wa kukabiliana nacho.Uwezo wa kukabiliana na kikwazo hicho unaweza kuwa uwezo wa kifedha, kiafya, kielimu,nguvu ya mwili katika kukabiliana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.