migogoro mashariki ya kati

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tlaatlaah

    Kwa kiburi na uropokaji tu, CHADEMA imeteketea ghafla kwenye medani ya siasa za Tanzania, kama inavyoteketea Iran huko mashariki ya Kati

    Hulka za viburi na ujeuri za viongozi wakuu wa chadema, mathalan Lisu na heche, vinalandana na kushabihiana kabisaa na ukaidi usio na faida wa viongozi kama vile Zelensky na Hayatollah Khemenei ambao kwa kauli za vinywa vyao tu, wanayaangamiza mataifa yao mchana kweupe, huku ulimwengu mzima...
  2. Fbn

    Uhasama kati ya Saudi Arabia na mataifa kama Iran, Syria, na sehemu ya Iraq unatokana na sababu za kidini bali pia za kisiasa, kijeshi na kimkakati

    Saudi Arabia ni taifa la Waislamu wa Sunni (kabila la Wahhabi) na Iran ni taifa la Waislamu wa Shia, na ndiyo ngome kuu ya Shia duniani. Syria, chini ya utawala wa Bashar al-Assad, inaongozwa na Alawite — tawi la Shia. Iraq, baada ya Saddam Hussein (Sunni), sasa ina serikali yenye ushawishi...
Back
Top Bottom