Ukichambua vizuri kile kinachoitwa Ilani na sera za CCM 2025-2030. Utakuja na jibu moja tu kwamba, waandaji wamechomoa chomoa kwenye Ilani na sera zilizotumika zamani, wakaunda kakijitabu haka wanakokatumia Leo kuomba kura.
Waziri Mkuu wa zamani, marehemu Edward Lowassa aliwahi kuonya akiwa...
Kwema wakuu.
NYIMBO ZENYE MIDUNDO ya huzuni huwa zina madhara gani?
Kuna kipindi fulani nilikuwa nazisikiliza sana, mtu akanambia achana na hizo nyimbo kwa usalama wako.
Nyimbo hizi zina madhara gani?
Mfano wa nyimbo hizo:
Wiz Khalifa - See you again
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.