midahalo vyama vya siasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Prof. Assad: Midahalo UDSM imekufa kwa kushindwa kutofautisha mijadala ya kisomi na siasa

    Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu, Prof. Mussa Juma Assad, amesema; "Mimi nafikiri tatizo letu kubwa ni tumeshindwa kutofautisha mijadala ya kisomi na siasa za nje. Wasiwasi wangu ni kwamba watu wanafikiri kwamba ukishakuwa na uongozi wa serikali ya wanafunzi ya Chuo...
  2. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Yaliyojiri kwenye mahojiano kati ya Chief Odemba na Peter Msigwa kwenye kipindi cha Medani za Siasa

    Mikutano ya Makatibu Wakuu wanakimbia ila hii ya roporopo anayoenda kuchamba chama chake cha zamani ahhhh, sababu inawachafua wengine na kuwapaisha wao. Ngoje tuona Msigwa atakuja na jipya gani leo. Pia soma: Kuelekea 2025 - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini...
  3. Joseph Ludovick

    JamiiForums Tanzania CHADEMA imepata Hasara Kususia Mdahalo

    Midahalo ya kisiasa ni fursa muhimu kwa vyama vya siasa kuwasilisha sera zao na kuwavutia wananchi. Kwanza, midahalo inavipa vyama nafasi ya kujadili masuala muhimu yanayoikumba nchi, na hivyo kutoa fursa kwa wananchi kuelewa vyema ajenda za kila chama. Katika midahalo, vyama vinapata nafasi ya...
Back
Top Bottom