Wadau hamjamboni nyote?
Ni mambo ya Imani na siwezi yabishia kwani wenyewe wanaamini hivyo
Bado nawaza nifanyeje kwani nahofia.nosijeipanda miti hiyo kisha baadaye mayahudi wakaja jificha
Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu
Habari za utaftaji ndug zangu
nipo katika maandalizi ya vitalu vya upandaji miti ya fensi kwaajil ya kuzungushia uzio shambani
Changamito ni upatikanaji wa mbegu za fensi ya michongoma au kwa jina lingine fensi ya arusha
miche yake ikiwa mikubwa hutoa miba mirefu na urefu wa miiba yake unaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.