michael msechu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    PreGE2025 Michael Msechu: Hatuna Deni na Rais Samia Suluhu Hassan

    Nchi yetu ya Tanzania ina maendeleo makubwa sana tangu tulipopata Uhuru na mpaka sasa tumezidi kuvuka hatua. "Uzalendo ambao wamepewa viongozi wetu ni umetukuka na sisi Watanzania tunatakiwa kuendelea kuwaunga mkono na sio kuwabeza, wanajitoa mno. "Sisi hatuna deni na Rais Samia Suluhu Hassan...
  2. Mindyou

    PreGE2025 Michael Msechu aingia Pwani kuhamasisha wananchi kuhusu ujio wa Mwenge wa Uhuru na amani kipindi cha Uchaguzi

    Balozi wa Mazingira na mhamasishajI Michael Msechu amehamasisha wakazi wa Mkoa wa Pwani kuhusu ujio wa Mwenge wa Uhuru wa Kitaifa 2025 na kuhamasisha umoja na maendeleo ya Miaka minne ya Rais Samia katika kukuza upendo na umoja miongoni mwetu. Soma pia: Mhamasishaji Peter Msechu aanza ziara...
  3. Mindyou

    PreGE2025 Michael Msechu afanya kikao na wanakijiji katika Wilaya Mkinga kuwaomba wahudhurie kwa wingi mkutano wa Rais Samia mkoani Tanga

    Balozi wa Mazingira na muhamasishaji wa Maendeleo Tanzania ndugu Michael Msechu amefanya kikao na wanakijiji na kuhamasisha Ujio wa Rais Samia katika wilaya ya Mkinga na kuwaomba wajitokeze kwa wingi kumpokea na kumsikiliza Mama wa Taifa Kaziiendelee
  4. Mindyou

    PreGE2025 Michael Msechu atembelea wavuvi na mabaharia katika bahari ya Pangani siku chache kabla ya Rais kuwapatia wavuvi hao maboti 80

    Balozi wa mazingira na mhamasishaji ndugu Michael Msechu amewatembelea wavuvi na mabaharia katika bandari ya Pangani ambapo Rais Samia anatarajiwa kukabidhi boti 80 kwa vijana moja ya kumbukumbu kubwa na hitaji kubwa kwa vijana wa Pangani.
  5. Mindyou

    PreGE2025 Mhamasishaji Michael Msechu na DC Petro Magoti wakutana kufanya ziara ili kuhamasisha vijana kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura

    Balozi wa mazingira na muhamasishaji, Ndugu Michael Msechu, amekutana na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti, ambapo wamejadili mpango wa kufanya ziara ya kuhamasisha vijana na wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura. Kupata matukio na taarifa zote kwa...
  6. Mindyou

    PreGE2025 Hili la mkutano wa nishati nalo lilihitaji hamasa kutoka kutoka kwa chawa wa mama Michael Msechu?

    Wakuu, Mkutano wa nishati ambao walengwa wakubwa ni viongozi mbalimbali wa kimataifa na wenyewe ulihitaji "uhamasishaji" kutoka kwa Michael Msechu? Tunaenda wapi kama taifa? Balozi wa Mazingira na Mhamasishaji Michael Msechu ameshiriki kwenye hamasa ya vijana kuhusu mkutano wa nishati ambao...
  7. Mindyou

    PreGE2025 Morogoro: Michael Msechu apita vijiweni kwenye huko Mvomero kutoa hamasa juu ya kazi anazofanya Rais

    Balozi wa Mazingira na muhamasishaji Tanzania Michael Msechu amefanya ziara Kupitia Vijana kwenye vijiwe mbalimbali kutoa hamasa juu ya kazi nzuri anayoifanya Mhe Rais Samia
  8. Waufukweni

    PreGE2025 Mhamasishaji Michael Msechu aendelea kufanya uhamasishaji Dodoma. Ashirikiana na bodaboda kufunga mitaa

    Wakuu, Nawaonea huruma sana wakazi wa Dodoma katika kipindi hiki. Inawezekanaje bodaboda wachache waruhusiwe kufunga barabara? Yaani kila sehemu ni vurugu na mabendera ya CCM sehemu zote. Na hawa bodaboda wanadanganywa sana ============================ Maafisa usafirishaji Mkoa wa Dodoma...
  9. Mindyou

    PreGE2025 Baada ya Zanzibar, Michael Msechu atua Dodoma kufanya "uhamasishaji" kwenye mkutano mkuu wa CCM

    Wakuu, Balozi wa Mazingira na muhamasishaji wa maendeleo Michael Msechu pamoja na mkali wa mashahili Nchini Tanzania Fumau Mashahiri wameongoza hamasa Wilaya kwa Wilaya wakati wakielekea Mkoa wa Dodoma Kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Rais Samia na Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM Taifa...
  10. Mindyou

    PreGE2025 Chawa wa mama Michael Msechu aongoza msafara wa bodaboda kusheherekea maadhimisho ya miaka 61 ya Mapinduzi Zanzibar

    Wakuu, Huyu Michael Msechu kwa sasa ametua Zanzibar ili kuhamasisha wananchi kusheherekea maadhimisho ya miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Akiwa huko ameandaa, msafara wa bodaboda barabarani ili kuhamasisha sherehe hizo. Soma pia: Mhamasishaji Peter Msechu aanza ziara visiwani Zanzibar kwa...
Back
Top Bottom