miaka 4 ya rais samia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PreGE2025 Kampeni ya 'Mama Asemewe' yaadhimisha miaka 4 ya Rais Samia kwa ziara kwenye daladala

    Katika kuazimisha Wiki ya Mama, ambayo inatambua na kuenzi juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan, Viongozi na wanachama wa Kampeni ya Mama Asemewe walifanya ziara ya kipekee kwa abiria wa daladala mkoani Dar es Salaam, wakijumuika na wananchi kuzungumza na kuwafahamisha kuhusu mafanikio ya Rais...
  2. PreGE2025 January Makamba: Miaka Minne ya Rais Samia imeleta Umoja na Maendeleo

    Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema miaka minne ya Rais Samia Suluhu Hassan imekuwa na maana kubwa katika ustawi wa maisha ya Watanzania, akisema nchi imekuwa na umoja, utulivu na mshikamano. January, ambaye ni Mbunge wa Bumbuli na Mjumbe...
  3. PreGE2025 Tathmini fupi ya miaka minne ya Rais Samia

    Rais Samia aliapa tarehe March 21, 2021, baada ya Kifo cha Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Magufuli Leo ametimiza miaka 4 Rais Samia amekuwa Bora kuliko mtangulizi wake Magufuli Watanzania tulikuwa gizani kipindi cha utawala wa Magufuli, Samia alikuta hali mbaya ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…