mgombea urais wa ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Kihongosi: Rais Samia amefuatiliwa mtandaoni mara Milioni 164. 9, hii inadhihirisha kukubalika kwake kama Mgombea Urais wa CCM

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 27, 2025 Mkoani Mwanza ameeleza namna Chama cha Mapinduzi kimefanikiwa kwa kufatiliwa na watu wengi Mtandaoni na umati mkubwa kuhudhuria...
  2. M

    Serikali iichukulie hatua Zambia Reports kwa kuchapisha uongo mtandaoni kuhusu mgombea urais wa CCM Mama Samia

    Zambia Reports ni wafitini, wanafiki na wenye nia ovu dhidi ya mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Dr Samia Suluhu Hassan. Ni upotoshaji kusema wapinzani wa Mama Samia wamefungwa jela wakati sio kweli. Wagombea wa vyama vingine wapo kwenye kampeni siku hizi za mwisho mwisho kabla ya tarehe 29...
  3. S

    Yule Mgombea anayependwa zaidi Duniani kwa sasa Dkt. Samia Suluuhu Hassan Kutikisa Songwe

    https://www.youtube.com/live/oKhmY026yws?si=5-O75s2JdtUZjczD Angalia hii Live yanayoendelea Songwe-MLOWO Leo, macho na masikio ya Watanzania yameelekezwa Mkoani Songwe ambako mgombea urais anayependwa zaidi duniani kwa sasa, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, anaendelea...
  4. Erythrocyte

    GE2025 Kampeni za Mgombea Urais wa CCM zapotea Mitandaoni, inadaiwa Chanzo ni Bomu la Polepole

    Kwa Mara ya kwanza tangu siasa za mitandaoni zianze, Kitengo cha Propaganda Cha CCM kinaogopa kuleta habari za Mgombea Urais Samia Suluhu Hassan Mitandaoni Taarifa fupi ya timu yetu ya ufuatiliaji inaeleza kwamba, Sababu Kuu ni Kombora Takatifu Alilolivurumisha Mzalendo Polepole, ambalo...
Back
Top Bottom