Mgombea urais wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Wilson Elias amesema endapo chama chake kitapata ridhaa ya kuongoza nchi, kitaweka satelaiti angani ili kudhibiti uhalifu unaofanyika katika maziwa ya Victoria na Tanganyika pamoja na mipaka ya nchi kwa ujumla.
Ahadi hiyo ameitoa...
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Wilson Elias Mulumbe, amesema serikali ya ADC itahakikisha kila halmashauri nchini inakuwa na magari ya kisasa ya kuchimba visima vya maji, ili kumaliza kabisa tatizo la maji safi na salama...
Mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Wilson Elias Mulumbe amesema endapo chama chake kitapata ridhaa ya kuongoza, Jiji la Mwanza litakuwa ‘paradiso’ ya maisha bora na kitovu cha uchumi na maendeleo nchini
Kauli hiyo ameitoa...
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Wilson Elias Mulumbe, amesema iwapo atachaguliwa kuwa Rais, Serikali yake itatoa bure huduma zote za kijamii ikiwemo afya, kuunganisha umeme, maji na elimu kuanzia ngazi ya awali...
Wilson Elias, Mgombea pekee wa nafasi ya kuteuliwa kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha Alliance Democratic Change (ADC) mara baada ya aliyekuwa akiwania pia nafasi hiyo kukosa vigezo, amesema kuwa ajenda yake kuu ni kuimarisha ajira ikiwa ni kufungua milango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.