mgogoro wa mpaka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    DOKEZO DC wa Songea tatua mgogoro wa mpaka Kijiji cha Lugagala na Muungano Zomba, Watendaji wako wa ardhi inadaiwa wamewekwa mfukoni

    Sisi Wakazi wa Lugagala tunanyanyasika sana ikiwemo kufanyiwa fujo katika mashamba na makazi yetu ya asili. Mpaka wa Vijiji hivii umekuwa kero kwa Watendaji wa Halmashauri Wilaya ya Songea. Licha ya kukumbushia mgogoro huu wa barua mbalimbali katika ngazi ya Halmashauri kwa Mkurugenzi wa...
  2. Alkelokas

    Naombeni ufafanuzi Kisheria juu ya Mipaka ya Ardhi

    Habarini zenu wakuu, nina suala linanisumbua kati yangu na jirani angu kuhusu mipaka. Ni hivi jirani yangu kapanda mti wa mparachichi hii ya kisasa jirani kabisa na mpaka takribani nusu mita toka mpaka ulipo, sasa umekua na matawi mengi yamekuwa shambani kwangu ambapo nimepanda migomba...
  3. Fbn

    Hivi tuliishia wapi kuhusu Ziwa Nyasa na leo Ziwa Malawi?

    Huu mgogoro ulifikia wapi mpaka leo, maana ramani zinaonesha ni ziwa malawi na sio ziwa nyasa? Na mipaka inaonesha utakiwi kugusa hata maji. Je, kanuni gani mpaka sasa na solution ipi imechukuliwa?
Back
Top Bottom