mdude atekwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mashamba Makubwa Nalima

    Mwanangu Mdude haki yako lazima ipatikane, uzuri uliandika barua mapema na ukamtaje mtuhumiwa wako namba moja na genge lako

    Tumefuata utaratibu wote katika harakati za kupambania haki yako kabla ya kutekwa mara ya mwisho kabisa, ila kila mamlaka ilikuwa inatuona kama tunacheza, sisi hatuna thamani, uhai wetu hauna thamani yani tupo tupo tu. Wanatuibia pesa zetu, wanauza rasilimali zetu, na bado wanatuteka na...
  2. Inside10

    Boniface Jacob(Boni Yai): Nakulilia rafiki yangu Mdude

    NAKULILIA RAFIKI YANGU MDUDE Ni siku takribani 8 tangu uvamiwe, utekwe, ujeruhiwe na kupotezwa ukiwa ndani ya nyumba yako kata ya Iwambi, Jijini Mbeya. Tukio lako limeacha maswali mengi bila majibu, simanzi kubwa kwa ndugu, Jamaa na familia yako. Nilichofanikiwa kujua hadi sasa ni kimoja tu...
  3. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Dr. Shoo: Shambulio kwa Padre Kitima na tukio la kutekwa Mdude ni kengele ya hatari

    Askofu Mstaafu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Jimbo la Kilimanjaro Magharibi, ambaye pia ni Mchungaji wa Kanisa la KICC, Dr. Glorious Shoo, amekemea vikali matukio ya karibuni ya ukatili na ukiukwaji wa haki za binadamu nchini, yakiwemo shambulio kwa Padre Dr. Charles Kitima na...
  4. Waufukweni

    PreGE2025 RC Mbeya atoa TSh 5 Milioni kwa atakayetoa taarifa za Mdude, aagiza Polisi kuwasaka waliomteka

    Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dk Juma Homera amesema tayari amelielekeza Jeshi la Polisi kuongeza jitihada za kuwatafuta wahusika waliomshambulia kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mdude Nyagali, huku akiahidi Sh5 milioni kwa atakayesaidia kumpata kada huyo alipo akiwa hai au amekufa...
  5. S

    PreGE2025 CHADEMA na Wanaharakati kwa ujumla, anzisheni michango kusaidia familia ya Mdude

    Habari! Natoa wito kwa viongozi wa CHADEMA na wanaharakati wa haki za binadamu na wadau wengine kuanzisha michango kusaidia familia ya Mdude katika kipindi hiki ambacho hatima ya Mdude bado ni kitendawili. Huyu Bwana alitoa maisha yake kupambania Taifa hili na watu wake na pia alikuwa ni...
  6. Nkarahacha

    PreGE2025 Polisi kamateni Faris Burhan Mwenyekiti UVCCM Kagera kufuatia kutekwa kwa Mdude

    Polisi hampaswi kujiulizauliza mtu wa kuanza nae ni Farsi Burhan Mwenyekiti wa Uvccm mkoa wa Kagera ambaye mwaka jana alijitangaza kuanza kuteka watu na kuwaonya kuwa inaootokea mtu akatekwa polisi msimtafute. Anza na huyu mtekaji akiyejitangaza hadharani jamani huenda ndo yupo nyuma ya...
  7. Masai wa Town

    PreGE2025 Mdude Nyagali adaiwa kukamatwa na kupigwa na watu waliojitambulisha Polisi

    Mwanachama wa JF na mdau mkubwa wa mitandao, Mdude_Nyagali amechukuliwa na watu waliojitambulisha kuwa ni polisi usiku huu. Walikuwa na silaha, wamevunja mlango. Mdude amepigwa sana, alikuwa amelala nyumbani kwake Mbeya. Watu hao wamevamia wakiwa na silaha, wakabomoa mlango, wakampiga sana...
Back
Top Bottom