mbunge wa buchosa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Mbunge wa Buchosa amewaabisha sana wakazi wa Buchosa, kwamba Tisheti za CCM ni zawadi kubwa sana!

    Nimesikitika sana. Yaaani mbunge badala kujinasibu kuwa amesaidia wananchi wake kupata maji au huduma za kiafya kama Hospital n.k Yeye anajisifia kuwaletea Tisheti za CCM wananchi wake. Hii ni aibu kubwa sana. Na ni kudhalilishana.
  2. R

    PreGE2025 Dakika za jioooni, Eric Shigongo aweka umeme kwenye zahanati ya Kisiwa cha Soswa, Buchosa

    Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo ameweka umeme kwenye zahanati ya Kisiwa cha Soswa iliyopo katika jimbo hilo na kumaliza kero ya muda mrefu ya wanawake kujifungua kwa msaada wa mwanga wa tochi, iliyokuwa ikiwakabili wananchi hao Hatua hiyo imepongezwa na wananchi wa Kisiwa cha Soswa ambapo...
  3. R

    PreGE2025 Eric Shigongo: Rais Samia kutoa Billioni 8 kujenga kivuko kipya na kuongezeka kwa vivuko vinne Buchosa

    Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, ameishukuru Serikali kwa kutoa vivuko vinne vitakavyotoa huduma za usafiri kwa wananchi wa Buchosa Kauli hiyo ameitoa alipokuwa akizungumza na wananchi wa kata nne zinazounda Kisiwa cha Kome, kilichopo katika Jimbo la Buchosa Shigongo ametaja vivuko hivyo kuwa...
  4. R

    PreGE2025 Mbunge wa Buchosa Eric Shigongo ameanza rasmi Kampeni ya `Buchosa inaongea katika Kata ya Nyehunge

    Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, ameanza rasmi kampeni ya kufungua barabara za mitaa kwa mtindo wa kitongoji kwa kitongoji, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuboresha miundombinu na kurahisisha usafiri kwa wananchi wa Buchosa Zoezi hilo limeanza katika Kata ya Nyehunge, likitekelezwa na mitambo...
  5. Just Pray

    PreGE2025 Tutaona mengi kuuelekea uchaguzi, Mwananchi asimulia alivyosaidiwa matibabu na Shigongo baada ya kuugua miaka nane

    Yote ni shuhuda kuelekea uchaguzi mkuu, wanasiasa wanaitafuta huruma ya wananchi. hatukuwahi kusikia shuhuda kama hizi huko nyuma :AAAA: :AAAA: :AAAA: msikilize mwananchi huyu, Mbanguji Paul wa Buchosa jinsi akieleza alivyosaidiwa matibabu ya jicho lililomtesa kwa takribani miaka 8 na Mbunge...
  6. Mindyou

    PreGE2025 Mbunge wa Buchosa Erick Shigongo: Watanzania mna Rais bora. Shida tunasifiaga watu wakishakufa

    Wakuu, CCM muwe mnachagua watu wa kusemea mambo yenu. Watu wa imani wakisema huu ni uchuro kwa Rais, mtakataa. Yaani mnasifia hadi mnaboa. ================================== Mbunge wa Jimbo la Buchosa Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Eric Shigongo, jana katika mkutano wake na Wana habari...
Back
Top Bottom