Mbowe si muongeaji sana ni mkimya na mtulivu sana! Huwa hapendi kuongea mwanzoni, hupenda kuongea mwishoni na kufunga mjadala.
Ni jambo zuri lakini kuna baadhi ya mazingira hupaswi kukaa kimya muda mrefu sana.
Mwenyekiti huyu mstaafu wa CHADEMA kahusishwa mara nyingi sana na CHAUMMA, chama...
Mbunge wa zamani wa Ubungo (CHADEMA), Saed Kubenea kupitia Wasafi FM ameeleza kuwa kuna watu ndani ya CHADEMA mpaka leo hawaamini kama Tundu Lissu ni Mwenyekiti wa Chama na madhara ya kuto kubali matokeo yake ni makundi kuibuka. Ameongeza kuwa hata Freeman Mbowe hakuamini kama anashindwa na...
ENGUA style ya Mbowe ni ya kikatili mno haina maelezo, wajumbe wanaenguliwa bila sababu maalum, Tulizoea kusikia watu kuenguliwa kwa makosa kwenye ya kuandika barua ila hii ni next level, unapigwa benchi bila sababu
Wanachama wengi wanao support Team Lissu wamepigwa marufuku kuhudhuria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.