Nilisema humu kuwa hakutakuwa na Msalia mtume wala nini.
Tatizo mmeua sana Ndugu zetu, mmeua Sanaa.
Hamjaishia kuua, Mmezika kwa Halaiki, haikutosha, Mmechoma Miili ya Ndugu zetu.
Oaaaa unyama mloufanya kwa Taifa hili, NI LAZIMA TUTAWANYONGA, TUTAWAFUNGA NA TUTAWAFILISI TU.