matukio ya vifo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nyendo

    PostGE2025 Uingereza yataka uchunguzi huru Matukio ya vifo Oktoba 29 nchini Tanzania

    Serikali ya Uingereza imeifikisha Tanzania katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC), ikitaka kufanyika kwa uchunguzi huru na wa kina kufuatia kile ilichokiita "ukatili wa kushtua" uliotokea baada ya uchaguzi wa Oktoba 2025, ikiwemo tuhuma za mauaji ya kinyume cha sheria na...
  2. Waufukweni

    Izzo Bizness: Matukio ya Vifo na kutekwa na kupotea nchini, hali imekuwa ya kutisha zaidi

    Rapa Izzo Bizness ameelezea hofu yake kuhusu matukio ya hivi karibuni ya vifo na kutekwa kwa watu, akisema hali imekuwa ya kutisha zaidi. Kupitia mtandao wa X (zamani Twitter), Izzo ameonyesha wasiwasi kuhusu ongezeko la matukio ya kutoweka kwa watu nchini, huku akisema kuwa hali hiyo...
  3. ndege JOHN

    Misiba imeshika hatamu sababu kubwa zifuatazo chukua katahadhari

    Sisi wote binadamu Tubadilishane uzoefu mambo yafuatayo yanachukua watu zetu easy 1. Ajali, za magari, mitambo, umeme, gas,moto. 2. Pressure hio ndo zaidi 3. Mahoma homa ya maini na figo yamekuwa mengi. 4. Uwizi 5. Ugomvi wa wivu wa kimapenzi.
Back
Top Bottom