Kutokana na uchunguzi wangu mdogo kwenye PDF ya MATOKEO ya TRA, hasa kweny upande wa Custom II, Kuna vitu vimenipa maswali mengi
1. Kwa Jinsi maksi zilivyopangwa ni ngumu mtu kupata 43, au 42.4.
Kwasababu mtihani ulikuwa na maswali matatu ambayo kimsingi huwezi pata hizo maksi na majibu...
Kuna maza tunasali nae hapo pentecostal church anafanya kazi nbaa,so jana baada ya misa nikapata muda wa kusalimiana nae na kumdodosa mawili matatu kuhusu maendeleo ya zoezi la kusahihisha.amesema zoezi limeanza tayari na kuna vituo kadhaa vya kusahihishia,kituo alichoko yeye hapa dar ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.