match

A match is a tool for starting a fire. Typically, matches are made of small wooden sticks or stiff paper. One end is coated with a material that can be ignited by friction generated by striking the match against a suitable surface. Wooden matches are packaged in matchboxes, and paper matches are partially cut into rows and stapled into matchbooks. The coated end of a match, known as the match "head", consists of a bead of active ingredients and binder, often colored for easier inspection. There are two main types of matches: safety matches, which can be struck only against a specially prepared surface, and strike-anywhere matches, for which any suitably frictional surface can be used.

View More On Wikipedia.org
  1. Logikos

    JamiiForums Tanzania Friendly Match: England Apigwa kipigo cha Mbwa Mwizi na WaSenegali (1-3)

    Ni Historia mara ya kwanza kwa Timu ya Afrika kumfunga huyu anayejiita 3 Lions (katika 22 attempts): Ofcourse sio kipigo cha Mbwa mwizi ila hawa wadau wametukatili sana kwenye World Cup kadhaa ngoja tu na hiki nikiite ni cha mbwa mwizi.... https://youtu.be/Rflrb2KUL7M?si=VCilMKc4xqUJ0QTG
  2. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Simba hamwezi enda mfunga Mwarabu Zanzibar. Hilo Msahau kabisa. Wao si wajinga kupeleka match kule

    Asilimia zaidi ya 80 wanataka Mwarabu ashinde dhidi ya huyu mtu mweusi. Mnajidanganya mtamfunga Mwarabu Zanzibar. Thubutuuuuuuuuuuuuu. Ndani yenu wenyewe ya Simba kuna watu wanatamani Mwarabu ashinde. Si kwa sababu ya Yanga. Ila ni sababu ni team ya mabwana. Na sisi ni Watwana. Ipo hivyo...
  3. Mtu Asiyejulikana

    JamiiForums Tanzania Kwa huu Upuuzi mliopanga Simba mnaenda poteza hii Match. Wallah Wabillah mtaniambia

    Yaani mnataka leta siasa za kiduanzi sana. Tunajua mnachofanya na tayari watu tumeamua kama mbwai mbwai. Yaani mumpongeze mama yenu kwa hili? Nyie mna akili kweli? Sasa mnaenda poteza hii match. Wallah Wabillah labda si mimi mjukuu wa mtume. Yaani mnaleta siasa kwenye mambo ambayo si ya...
  4. THE FIRST BORN

    JamiiForums Tanzania Match ya Leo Simba Akila Kichapo cha kuanzia goli 3 msahau Match kuchezwa kwa Mkapa.

    Nahis hamkumuelewa Msemaji Ahmed Ally...simba leo wanapima upepo wakila goli 3 kwenda Juu watakua willingly kucheza Aman ila ikitokea ni goli Moja au Mbili kafungwa watalazimisha hata serikali iingilie kati Match ichezwe Kwa Mkapa. After game nitakuja kuwaeleza kwa undani ndio muelewe why hata...
  5. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Jean Baleke anazunguka tu kuangalia match za Mikia. Mazoezi anafanya kweli?

    Matches nyingi za Simba wakicheza hapa KMC Baleke Jean anaenda kuangalia. Ina maana yeye hafanyi mazoezi na wenzie?
  6. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Ricardo Momo: Yanga wana sababu za msingi kugomea mechi

    "Kwa mfano Nikikuuliza Kosa la Yanga ni Lipi utanijibu Nini? wanacholalamikia Yanga kipo Katika sakata Hili naona kabisa kuna kubebana Siwezi kuficha, Simba walitoa Taarifa Usiku wa Manane Kugomea Mchezo tukaona asubuhi yake Bodi ya Ligi wakaja wakaahirisha Mchezo Bila Sababu za msingi. Hawa...
  7. The Watchman

    JamiiForums Tanzania FULL TIME || TotalEnergiesCAFCC || Stellenbosch 0-0 Simba SC || Aggreggate 0-1 || 27.04.2025 || 16:00 EAT || Moses Mabhida Stadium

    Mechi ya nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika mkondo wa pili kupigwa leo Jumapili. Mnyama Simba SC atakuwa dimba la Moses Mabhida akicheza na Stellenbosch. Mnyama anaingia katika mchezo huu akiwa na mtaji wa goli 1 - 0 alilopata kwenye mchezo wa kwanza pale Zanzibar. Mechi hii itapigwa...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania FT | Simba SC 1-0 Stellenbosch FC | Nusu Fainali CAFCC | New Amaan Stadium | 20.4.2025

    Mechi kali ya mkondo wa kwanza Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika inapigwa leo, ambapo Mnyama Simba SC anawakaribisha Stellenbosch FC kutoka Afrika Kusini, katika dimba la Amaan, Visiwani Zanzibar. Mchezo huo utachezwa kuanzia saa 10:00 jioni. Kaa karibu kwa Live updates Asubuhi...
  9. THE FIRST BORN

    JamiiForums Tanzania Madhara ya kukimbia Match ya Derby yashaanza kuonekana

    Habari, Wengi mlifurahia hasa Simba kugomea Ile game ila ukweli kama Simba alikua anaelewa yupo katika michuano Gani? Na anataka Nini? Simba angecheza ila game...Ile Derby mi naamini ndio ilikua kipimo sahihi Cha Simba kuelekea game ya Jana, simba alikua anahitaji game kama Ile ya Derby yenye...
  10. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Yanga tuacheni kulishana ujinga. Match itarudiwa na Tutacheza. Period

    Hakuna kuendelea kudanganyana any more. Match itarudiwa na tutaenda uwanjani. Hii wala haihitaji elimu ya sekondary Mikia.wamenyamaza sababu wanajua mambo yanavyoenda wapo very calculated. Hata wanapowatuma wazee wao wazungumze wanawachagua wasomi. Sisi tunawatumia akina mpili kichwani hamna...
  11. THE FIRST BORN

    JamiiForums Tanzania Nyuma ya pazia yanayoendelea sakata la Match ya Derby kuahirishwa

    Niseme tu Meza mliyotikisa Round hii Nyie Bodi ya Ligi ilikua na vinywaji vya gharama.
  12. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Sheria au kanuni inajieleza yenyewe miaka na miaka yakwamba timu mgeni itafanya mazoezi kwenye uwanja husika kwa muda ambao match husika itachezwa

    Hapo vip!! Ukitafakari na kuchambua kisheria hili dai la yanga yakwamba hawakupata taarifa..unaona wameamua kuingiza siasa kwenye mpira wetu. Hivi kati ya sheria au kanuni na taarifa ipi yenye nguvu...Simba amebase kwenye sheria na kanuni,yanga amebase kwenye utaratibu wa kisiasa. Na je kwenye...
  13. Damaso

    JamiiForums Tanzania Wesley Sneijder during a charity match

    Wesley Sneijder during a charity match. The former Dutch midfielder retired from football in 2019.
  14. kipara kipya

    JamiiForums Tanzania Poor game, Fixing match ,90 minutes Shots on target 0

    Hiyo ndio mechi ya ndugu wawili mechi mbovu kuwahi kushuhudiwa mechi ya mipango mpira unapigwa wanaurudisha kwa mfungaji kipa anajirusha ushahidi bila...krosi inapigwa mabeki wanajitenga mfungaji amewachwa peke yake malengo yametimia msifunge mengi mawili yanatosha wasielewe kama mechi tumepanga...
  15. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Kocha Mpya Asema Yanga wanapangiwa match kila baada ya siku 3. Jamaa ana kitu atafika mbali

  16. Beliscent

    JamiiForums Tanzania Match Analysis: Young Africans SC vs. MC Alger

    FT: 0-0 Takwimu Possession: Hapa Yanga wali-dominated umiliki wa mpira kwa asilimia (69%) wakati MC Alger (31%). Mashuti: Yanga walikuwa na mashuti 18 wakati MC Alger's 3, Lakini hakuna lililozaa goli. Big Chances: Yanga walitengeneza nafasi 1 kubwa ya kufunga, wakati MC Alger...
  17. Mtu Asiyejulikana

    JamiiForums Tanzania Hii ni moja ya mechi zenye tokeo moja, ama sivyo Ban Inahusika

    Si wanasema mpira una matokeo matatu? Hii match dhidi ya mashujaa ni TOKEO MOJA TU. YANGA INASHINDA.BASI. HAMNA JINGINE. AU KAMA NI MATOKEO MATATU BASI 1. YANGA INASHINDA 2. YANGA ITAIFUNGA MASHUJAA 3. YANGA ITAISHENYENTA MASHUJAA Kinyume na hapo moderatora niwapige ban ya siku 3.
  18. kali linux

    JamiiForums Tanzania Kweli Mike Tyson ndio wa kukosa hii hook, hakika ile match ilikuwa stage play

    Cheki hapa, huyu dogo hii hook ingemuweka chini moja kwa moja na ikawa KO ila mike akaipotezea, chek hii clip hapa chini Laiti hio hook mike angeituma kichwan kwa huyo dogo wangemtoa dogo hapo akiwa kwenye stretcher. Na ukicheki vzr mike alifake punch dogo akaidefend kisha akamuachia access...
  19. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Match ya Boxing kati ya Mike Tyson na Jake Paul, matokeo yalikwisha pangwa

    Wengi mlioangalia Boxing match kati ya Youtuber Paul Logan na bondia nguli Mike Tyson, mnaweza kudhani Mike Tyson ameshindwa, ila kiuhalisia Mike Tyson alipangwa kuuza match hili amfanye Paul Logan kuwa maarufu zaidi, ni mbinu za kibiashara za kumkuza Paul Logan, na tayari media nyingi za...
  20. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Hii ndo match yetu ya Mwisho kucheza Uwanja wa Azam. Hawa washenzi tutawakomoa

    Azam Complex wamiliki na mameneja ni washenzi sana. Wanatuhujumu. Uwanja wanakataa tusiuone kabla ya match. Ni washenzih sana hawa jamaa. Wanatuhujumu sana hawa Azam na mikia. Hawataki tuwe tunakagua uwanja kabla ya matches. Wana fanya hujuma kwa team yetu hawa mbwa. Hawataki tuuandae uwanja...
Back
Top Bottom