mashine ya vifaranga kutotoleshea

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Frank Mazagazaga

    Wafugaji wenzangu tujifunze kuusu TEMPERATURE AND HUMIDITY CONTROLLER ya njia mbili

    WAFUGAJI WENZANGU, TUJIFUNZE PAMOJA Moja ya sababu kubwa zinazofanya mayai yasitotolewe vizuri siyo mara zote sababu ni mayai mabovu, wakati mwingine ni KUKOSA UDHIBITI SAHIHI WA JOTO NA UNYEVU NDANI YA INCUBATOR. Hapa ndipo kifaa kimoja muhimu sana kinapokuja kusolve hili tatizo: XK-W1099...
  2. Frank Mazagazaga

    Incubator za bei ghali ziliwa kikwazo, mpaka nilipopata kifaa W1219 na kutengeneza yangu mwenyewe ya kutotoleshea

    JINSI NILIVYOSETI JOTO NA KUOKOA MAYAI YA KUKU WANGU – W1219 ILIKUWA GAME CHANGER! Wakuu habari za kazi na maisha, Nimekuwa nikihangaika sana na control ya joto kwenye incubator yangu ya kutengeneza mwenyewe kwa Gharama nafuu kwa kutumia material yanayopatika katika mazingira ya nyumbani...
  3. Madam Ritha Massawe

    Sehemu sahihi ya kuagiza vifaranga ni s&q group of international limited

    AINA YA VIFARANGA VINAVYOPATIKANA HAPA S&Q NIKAMA IFUATAVYO 1.VIFARANGA VYA KUKU WA MAYAI -BRAND NI HY-LNE- MIEZI 4- WANATAGA..BOX 280,000 WANAKAA 100 2.VIFARANGA VYA KUKU WA NYAMA - BRAND ZIKO MBILI ROSE WA MWEZI MMOJA...PRICE CHANGES PIA KUNA BRAND YA BROILER TS.900 HAWA NI CHOTALA MIEZI...
  4. K

    Miezi mitatu nimetotolesha vifaranga 500 vya kuku wa kienyeji

    Kheri kwenu wapendwa nimeamini kila kitu ni nia na kujituma. Mwezi wa saba nilinunua tetea 30 na jogoo 3 wanaotetea mwezi wa nane nikapata vifaranga 280 na mwezi huu wa tisa 220. Na bado naendelea kuatamishiae. Lengo kufika mwezi wa kumi na mbili niwe na kuku 1000 wa kienyeji pure. NJIA...
  5. MRBIASHARA

    INAUZWA Tunauza mashine ya kuchakata malisho ya mifugo chaff cutter machine

    Tunauza mashine za kuchakata malisho ya mifugo kama vile kuku. Mashine hii inauwezo wa kuchakata mabua na majani hadi kuwa vipande vidogo dogo sana. Inauwezo pia wa kusaga magunzi,mahindi,mashudu na material mengineyo yanayotumika katika kutengenezea chakula cha kuku hadi kuwa unga kabisa...
Back
Top Bottom