Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeibua mjadala mkali baada ya kutangaza rasmi umiliki wa timu ya soka ya Tabora United na kuibadilisha jina kuwa TRA United Sports Club. Kwa maneno yao wamedai kuwa hatua hii, inalenga kuhamasisha ulipaji wa kodi wa hiari na kuimarisha uwajibikaji wa kijamii...
Chini ya uongozi wa Mheshimiwa Rais wetu, mapato ya serikali yameongezeka kwa kiasi kikubwa! Kati ya Agosti 2020 na Machi 2021, tulikusanya shilingi trilioni 11.2, lakini katika kipindi kama hicho kati ya Agosti 2024 na Machi 2025, tulikusanya zaidi ya trilioni 21.2!"
Vyanzo vya Kuongezeka kwa...
Hii Ndio Mikoa ambayo inakusanya Kodi nyingi na kuiwezesha TRA kuvunja rekodi ya makusanyo Kila mwaka ambapo Kwa mwaka wa Fedha 2024/25 ,Mikoa 13 yenye Mapato kuanzia Bilioni 💯 ndio imebainishwa hapa chini.
👇👇
1.Dar =14.8T
2.Arusha=743.45bln
3.Kilimanjaro =330.84bln
4.Tanga =325.55bln...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.