mapajani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Kuamka ukiwa umechanjwa shingoni (imezungukwa yote) mbavuni na mapajani Ina maana gani?

    Dogo yamemkuta hayo mambo mara kadhaa jamani. Ni uchawi wenye tafsiri gani huu?!!!! Mbona maisha yanakera namna hii!!!!!!😡😡😡😡
  2. ELI COHEN

    Its okey ni maisha yako ndugu, lakini hauwezi nishawishi kidume nivae vipensi vifupi vya kubana mapajani alafu vina rangi mara ya pink sijui dhambarau

    YANI MWANAUME UNABANA MAKALIO NA MAPAJA🤡🤡 Kuna wakati wanawake waliwafukuzia wanaume katika fashion zilivyo za kiume, Ila leo vijana wa kiume sasa ndio wanafukuzia kuvaa fashion za kike. Hawa ndio wale wanakujaga na nyuzi humu wanaandika "wakuu mke wangu ananigombeza kama mtoto, nifanyeje?"...
  3. A

    Tatizo la kubabuka mapajani

    Habari wanaJF Hivi karibu nlienda Moshi safari kikazi nikakaa wiki maji niliyoogea kule ni ya magadi na haikuwa tatizo. Ila baada ya kurudi nawashwa mapajani na tezi dume ikifuatiwa na kubanduka kwa ngozi (peeling) kama inavyoonekana kwenye picha. Sijadate na mwanamke yeyote wala kula cha mtu...
  4. A

    Tatizo la kubanduka ngozi (skin peeling) mapajani

    Habari wanaJF Hivi karibu nlienda moshi safari kikazi nkakaa wiki maji nliyoogea kule ni ya magadi na haikuwa tatizo. Ila baada ya kurudi nawashwa mapajani na tezi dume ikifuatiwa na kubanduka kwa ngozi (peeling) kama inavyoonekana kwenye picja. Sijadate na mwanamke yeyote wala kula cha mtu toka...
  5. Jsam1995

    Msaada: Natokwa na vipele vikavu kwenye mapaja na matakoni

    Jamani wazima nashida naombeni msaada wenu natokwa na vipele vikavu kwenye mapaja na matakoni na miguuni tatizo ni nn?
Back
Top Bottom