Uzi huu hauna lengo la kuhamisha machafuko..
Ila ni wazi Serikali tiifu wameishiwa mpango kazi. Nimekuwa Arusha kwa karibu siku nane mpaka sasa, na hakuna siku imepita bila mtu kutekwa na wanaojiita wanausalama.
Wito wangu kwa waTanganyika wenzangu " hatuna mtu wakutulinda zaidi yetu sisi...
Ukiona raisi anasifuwa na kutangazwa kila kona ya nchi na machawa , wafanyabiashara ku print nguo zake na kupa zawadi mbalimbali za upngozi bora ujue nchi hiyo inaelekea kuangamia
Wote mnaona yale wanayoyasema mama kaupiga mwingi ni yapi
Vituo vya afya ameacha amejenga JPM kila mkoa
Sgr...
NITATUMIA ALIYOYASEMA GWAJIMA PIA..
Kwa takwimu zao wenyewe, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinasema kimefanikiwa kuwasajili wanachama zaidi ya milioni 10 kote nchini. Hii si idadi ndogo. Hii ni jeshi la maana kweli kweli wameshashinda Uchaguzi kabla ya kupiga kampeni hapa.
Tukigeuka upande wa...
Barabara , kajenga Mama
Dpw kawaleta Mama
Flyover.... mama
Mwendokasi...mama
Shirika la ndege la Zanzibar, Mama
Watalii kuongezeka kwa wingi licha ya Tanapa kutokutoa gawio zuri kama inavyopambwa... ni Mama, sjui wanampiga tu huko, mi sijui
Ngorongoro kote kule ni Mama
Deni kalipaisha kwa...
Kwakua deni la Taifa Bado ni himilivu, mama aendele kukopa mpaka Kila mtanzania adaiwe milioni 10🤣.
Katika vitu ambavyo mama ananikera ni kukopa kopa 😡 Hajui mikopo huleta umaskini hasa ikiwa inakopwa bila mpangilio maalum!?.
Ndani ya miaka 3 mama kakopa kuwazidi watangulizi wake, halafu...
Kigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.
Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.