maliasili na utalii

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Takukuru iingilie kati kufanya uchunguzi juu ya matumizi ya fedha yanayofanywa na Makonda na wizara ya maliasili na utalii kuleta wanamichezo nchini.

    Hizi ni pesa za walipa kodi na ni pesa ambazo zilipaswa kutumika kwa maendeleo ya Watanzania. Sasa wanaletwa akina Rio Ferdinand, wacheza mieleka wapiga masumbwi na wakata viuno kwa kigezo cha kukuza utalii. Huu ni upigaji na wizi wa pesa za umma ambao hayati Magufuli kama angekuwepo...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Joshua Nassari: Wizara inasema Watalii wamefikia Milioni 5.3, Mtu anakuja kununua vitunguu kutoka Kenya, naye anaambiwa ni mtalii

    Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari, akichangia Bungeni bajeti ya wizara ya maliasili na utalii amesema ... "Leo hii wizara inatuambia watalii wamefikia milioni 5 na laki 3... Lakini ukweli ni kwamba hizi takwimu ukifuatilia ni takwimu zinazochukuliwa kwenye boda, kwenye mipaka yetu ya...
Back
Top Bottom