malalamiko ya refund

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    DOKEZO KERO Idara ya fedha/uhasibu kwenye fee refunding UDSM kuna urasimu mkubwa sana

    Nilijiunga na chuo kikuu UDSM kwa masomo ya post graduate mwezi October 2023 kwa program za jioni. Lakini baada ya kukamilisha usajili na kulipa ada na kuanza masomo walitubadilishia utaratibu kwamba watu wa evening program ni wachache hivyo inabidi program hiyo ivunjwe wanaosoma jioni waungane...
  2. A

    KERO Pesa za refund kwa wanafunzi vyuo vya SUA na TIA kizungumkuti

    Nina wadogo zangu wawili mmoja kahitimu SUA, mwingine T.I.A, hawa wote walilipa ada mwanzo, baadae walifanikiwa kulipiwa ada na Board ya mikopo. Hivyo walipaswa kurejeshewa zile Ada walizo lipa, kama ndugu tulifurahi wao kulipiwa ada, lakini kurejeshewa ada ni haki Yao, lakini imepita zaidi ya...
  3. A

    KERO Responded Pesa za refund chuo cha DUCE ni kizungumkuti

    Chuo Cha Duce ( Dar es salaam University College of Education) Department ya fedha inawasumbua wanafunzi wanaodai refund. Refund hyo ni pesa ambazo wanafunzi wanapaswa kurudishiwa baada ya wao kulipa pesa kama ada ya masomo nk. Kwa chuo na hali ya kuwa serikali imeidhinisha walipiwe kama...
  4. A

    KERO Wanafunzi Chuo Kikuu Mzumbe Morogoro hatujalipwa fedha zetu za refund toka mwaka 2023 licha ya Uongozi wa Chuo kuahidi kushughulikia Septemba 2023

    Rejea kwenye mamaliko ya uzi huu - Chuo Kikuu cha Mzumbe chakiri Wanafunzi zaidi ya 500 wanadai malipo ya 'refund' chuoni hapo Hadi Leo hii pesa zetu bado hatujalipwa na hakuna hatua zozote zinazochukuliwa zaidi ya kuzungushwa tu. Tunaomba mtusaidie wanafunzi wa Chuo Kikuu Mzumbe Morogoro...
Back
Top Bottom