makamu wa raisi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Makamu wa Raisi Dkt MPANGO Aagiza Homilia hii ya Askofu Nyaisonga Irudiwe kwenye Vyombo vya Serikali

    Makamu wa Raisi Dkt MPANGO Aagiza Homilia hii ya Askofu mkuu jimbo katoliki la Mbeya Gervas John Mwasikwabhila Nyaisonga Irudiwe kwenye Vyombo vya Media ya Serikali https://m.youtube.com/watch?v=h483w5Qe2fI Habari kamili : Ibada hiyo imeongozwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Mbeya...
  2. Genius Man

    Kulingana na Pole pole mtu ukishakuwa makamu wa raisi hutakiwi kuwania uraisi sasa inamaana samia anawania uraisi kwa katiba gani ?

    Kulingana na Pole pole mtu ukishakuwa makamu wa raisi hutakiwi kuwania uraisi sasa inamaana samia anawania uraisi kwa katiba gani ? Unajua huyu msajiri wa wa vyama vya siasa nae simuelewi sijui hili halioni ?
  3. Fbn

    GE2025 Humphrey Polepole: Kama ulishakuwa Spika, Waziri Mkuu, au Makamu wa Rais hutakiwi kugombea urais

    Polepole atufumbua macho ndani ya CCM kuwa wanataratibu zao kama ulishakuwa Spika, Waziri Mkuu au Makamo wa Rais hutakiwi kuchukuwa fomu ya kugombea Urais. Ina maana kijiti alichonacho leo kushika uraisi alitakiwa asichukue fomu.
  4. Genius Man

    Nashauri makamu wa raisi apatikane kutoka kwenye mshindi wa pili wa uchaguzi wa uraisi anaweza kuwa upinzani

    Makamu wa raisi ni nani ? Kulingana na jamuhuri ya muungano wa Tanzania huyu ni mtu wa pili kwenye nchi badala ya raisi na anaweza kuchukua madaraka badala ya raisi. Hivi makamu wa raisi anapigiwa kura na nani ? Watu wengi wanapiga kura kumchagua raisi tu sio makamu wake lakini makamu wake...
Back
Top Bottom