Hatimaye code zimeanza kufunguka, video hii ya miezi mitano iliyopita, akiwa Bungeni, Dkt. Godwin Mollel aliyasema haya kuhusu watu aliodai wanachokonoa Ikilu, kwamba yeyote anayefanya hivyo ni adui yao.
Video hii imetrend ikiwa ni muda mfupi baada ya Makamu wa Rais, Dkt Emmanuel Nchimbi...