maisha yamebadilika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. jamaikatz

    Maisha yamebadilika

    Ukiona mtu,anakuheshimu ,ana kupigia simu alafu huna pesa, huna kazi , huna chochote, huyo ni zaidi ya binadamu .muombee sana kwa Mungu 😥
  2. M

    Mabadiliko ya maisha yangu baada ya kuoa

    Haya ni mabadiriko ya maisha yangu baada ya kuoa. POSITIVE. 1. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza lala bila kula au nikala mkate na juisi tu nikalala ila sasa nikitoka kazini na njaa nakuta mke wangu amenipikia chakula nikipendacho. 2. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza amka asubuhi,nataka kwenda...
Back
Top Bottom