Huyu mwamba alikuwa ni marine general,moja ya sifa zake ni kuwa mtu tafu na imara sana na kutokana na tabia zake walikuwa wanamuita shetani mzee butley
Lakini hakujali na wala hakuw na tabia ya kuwa na chuki au kuweka chuki moyoni mwake,wataalamu walimlaani,na karibia jamii nzima walimlaani...
Kumekuwa na tabia za watu kujiona wanategemewa sana. Watu hawa hawafanyi maendeleo yeyote wala kujijali wao kila siku ni kutunza wenzao na kubaiki meza kwa kujaza bia, wanapaswa kujua, hata wakifa leo hao wategemezi wataishi.
Mtu anakwambai mtoto wa mama mdogo, shangazi, babu, sijui rafiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.