mahusiano mengi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ELI COHEN

    Kuna namna fulani hivi wadada wamezidi kuwa wabinafsi siku hizi huku wakitegemea mtazamo ule ule wa kubebishwa na wanaume

    Unataka psychological torture? Ndio utaipata siku hizi hata bila ya kutekwa, naaam wadada wa kileo. Sio wote, ila wengi wao. Vile maisha yalivyozidi kuwa fast na yenye kuchanganya mwanaume alifikiri pumziko lake litakuwa kutoka kwa bebi, yani afarjiwe kwa usawa kama yeye anavyojitoa ingawa...
  2. B

    Anataka kumuacha mume wake wa ndoa ya miaka saba sababu si mzuri kitandani ili arudiane na ex wake

    Dada wa watu anaomba ushauri Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs" basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana Jamaa...
  3. officialaman

    Mahusiano yamekuwa tatizo kwangu!!

    kisa chenyewe ndø kama ifuatavyo .. Mimi nikijana mwenye miaka 20 sasa katika safari yangu ya maisha nimekuwa napitia changamoto nyingi katika masuala ya mahusiano ambapo masuala ambayo Mimi nayaona kama changamoto kwa vijana wenzangu wanaokama fursa lkn tunatofautiana .. Kiukwelii nimekuwa...
  4. ward41

    Tabia ya kutembea na wanawake wengi ni dalili ya ugonjwa wa akili

    Wanaume hatujaumbwa hivyo. Mwili wa binadamu umetengenezwa kitaalamu Sana. Kila kitu kinakuwa controlled au regulated na Ubongo Ubongo ndo kila kitu. Kwenye ubongo kukiwa na matatizo, madhara yanaonekana kwenye viungo vya mwili. Ukosefu wa baadhi ya madini kama magnesium, zinc, calcium...
Back
Top Bottom