mabasi ya mbeya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. jashmoe32

    Msaada wa Mabasi ya Mbeya to Tabora

    Habarini, Je Kuna mtu ana ufahamu wa mabasi ya kutoka Mbeya kwenda Tabora? Je ni safari ya muda gani kama tukianza asubuhi?Barabara ni Rafiki au? Ahsante
  2. Orketeemi

    Kwanini mabasi mengi ya kwenda Mbeya ni makuu kuu na mabovu?

    Habari. Mimi ni mtumiaji mzuri wa mabus ya masafa marefu kuelekea Mbeya. Hapo awali nilikuwa naishi Moshi na Arusha . Kwa kweli usafir wa kutoka Kaskazin kwenda Mbeya ulikuwa wa tabu tupu, kulikuwa na gari za SUMRY ( Mbeya express), Hood na baadaye Arusha express lakin zote hazikuwa na ubora...
  3. A

    Dar kwenda Wanging'ombe kuna basi au mpaka kupanda ya Mbeya?

    Hivi wadau kuna basi inakwendwa Wanging'ombe kuna dogo anatakiwa asafiri au mpaka apande ya Mbeya?....
Back
Top Bottom