mababu zetu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MABABU ZETU WATAENDA MOTONI WOTE?

    Habari wanajukwaa,hasa wafia dini. Kabla ya kuja dini afrika mababu zetu waliishi kwa Mila na desturi zao,hawakumjua yesu Wala muhamad, na sisi tuliomjua yes na muhamad tumemjua kwa kusimuliwa na kukaririshwa ,hivyo tumekuwa umma wa yesu na umma wa muhamad??JE MABABU ZETU WALIOKUFA BILA KUWAJUA...
  2. Biden atishia kuweka vikwazo kwa Uganda baada ya kupitisha sheria ya kupinga ushoga

    Rais wa Marekani, Joe Biden ameilaani sheria mpya iliyotiwa saini na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni dhidi ya vitendo vya ushoga na kusema kuwa Marekani inaweza kuiwekea Uganda vikwazo huku akitoa wito wa sheria hiyo kufutwa mara moja. Sheria hiyo mpya itawalazimu Watu wanaoshirki kwenye...
  3. A

    Mababu Zetu Wakifufuka leo! Wataona vizazi walivyoacha vimewatia aibu sana hapa Duniani

    Wakuu twende taratibu. Wale mababu zetu wakifufuka leo watakufa haraka kwa mshituko maana hawatoamini watakayoyaona, Kwanza watakuta mapambano dhidi ya wazungu ili kutetea ardhi yao ya asili hayapo tena na kiufupi ardhi mzungu anafanyia chochote anachotaka tena kwa kukaribishwa na kupewa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…