Wanajeshi nchini Madagascar wamejiunga na raia katika maandamano makubwa kupinga utawala uliopo, hatua ambayo imeibua taharuki kubwa kutokana na nadra ya jeshi kushiriki moja kwa moja kwenye maandamano ya kiraia.
Waandamanaji wamejitokeza kwa wingi wakilalamikia kupanda kwa gharama za maisha...
Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina, amevunja serikali yake Septemba 29, 2025 kufuatia kuongezeka kwa maandamano yanayoongozwa na vijana dhidi ya uhaba mkubwa wa maji na umeme. Umoja wa Mataifa umethibitisha kuwa mgogoro huo umesababisha vifo vya watu 22 na zaidi ya 100 kujeruhiwa, katika kile...
Wakuu ni siku ya tatu leo Madagascar hali si shwari kabisa,kumbuka jana Waziri wa nishati alishaliwa kichwa kunusuru malalamiko ya Wandaamanaji lakini bado haijasaidia kitu.
Soma pia >> Gen Z Madagascar waandamana dhidi ya kukatika kwa umeme na ukosefu wa maji
Naona kuna muamko mkubwa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.