maandamano genz madagascar

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Gen Z Madagascar wakataa wito wa Mazungumzo na Rais, Watishia Maandamano ya Kitaifa

    Waandamanaji nchini Madagascar wamekataa kushiriki mazungumzo yaliyotangazwa na Rais Andry Rajoelina Oktoba 8, 2025, wakimtuhumu kiongozi huyo na serikali yake kwa vitendo vya ukandamizaji. Rais Rajoelina alikuwa ametoa wito wa kufanyika kwa “mazungumzo ya kitaifa” akiwashirikisha viongozi wa...
  2. Stuxnet

    Gen Z Madagascar waandamana dhidi ya kukatika kwa umeme na ukosefu wa maji

    Waandamanaji walirusha mawe kwa maafisa wa polisi wakati wa maandamano dhidi ya kukatika mara kwa mara kwa maji na umeme mjini Antananarivo mnamo Septemba 25, 2025. Jeshi la polisi lilitumia mabomu ya machozi, risasi za mpira, huku nyumba za wanasiasa wawili zililengwa: hali ya mvutano ilikuwa...
Back
Top Bottom