CHADEMA kimetawaliwa na wafuasi waliojaa matusi ndo wanaongoza chama mitandaoni akina Mange Kimambi, Sativa, Tito Magoti, Martin na wengine.
Huwa najiuliza hivi matusi ni mkakati wa CHADEMA?
Matusi yamekifanya chama kionekane ni chama Cha ovyo chama Cha wahuni wahuni tupu, imekuwa ni aibu hata...
— Utafiti wa Kifalsafa Juu ya Ishara Ndogo Zinazobeba Uaminifu Mkubwa
Katika maisha ya kila siku ya Mtanzania wa kawaida—anayeamka alfajiri kuwahi daladala, anayepambana na ugumu wa maisha bila kulalamika, anayejifunza kusamehe bila kupewa pole—kuna jambo moja ambalo bado linabaki kuwa fumbo...
Wanawake wenu na watoto wenu wanaharibika, si kwa sababu yao pekee, bali kwa sababu nyinyi ni watu wa hovyo! Mmesahau majukumu yenu kama viongozi wa familia na jamii, mmekaa kimya mkiona kila kitu kinaporomoka huku mkijifanya hamuoni! Mmegeuka wanaume wa mzaha—watu wa starehe, watu wa mizinga...
Wakuu,
Yaani kutoka TANU mpaka kufikia CCM bado wameendeleza kuweka nguvu kwenye mambo yasiyo na maana na kuacha vitu ambayo vinadidimiza taifa kwenye maendeleo ya sekta mbalimbali.
Yaani watu na akili zao walitoka barabarani kupinga vimini, wavaa vikaushi sijui na zile suruali skini za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.