lissu kukamatwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Heparin

    PostGE2025 Lissu 'Tutakinukisha' saivi miezi 9 yupo gerezani. Shehe 'Tutakata watu vichwa' bado yupo mtaani anakunywa Alkasusu

    Nchi hii inashangaza sana. Kuna double standard ya hali ya juu mno. Aliyesema atakinukisha hakuchukua round akawekwa nyuma ya nondo, saivi anapambana asinyongwe hadi kufa. Lakini aliyesema atakata watu vichwa yupo mtaani tu anajidai na kunywa alkasusu bila shida. Lakini tutashinda. Safari hii...
  2. S

    Tetesi: Suala la Lissu kukamatwa kwa kesi ya uhaini lilipangwa kimbele, iliyobaki ilikuwa kusubiri siku akiongea chochote kitakachohalalisha akamatwe

    Nimeshitushwa sana na habari hii,, mtu wa ndani akinieleza kwamba kulikuwa tayari na mpango wa kumtafutia Lissu kosa la kesi ya uhaini, kabla hata hajayatamka maneno ambayo ndio wamemfungulia mashataka. Anasema, "suala hili lilipangwa baada ya mkakati wa kumsaidia Mbowe kushinda tena uenyekiti...
  3. B

    Tundu Lissu kukamatwa na kuswekwa Lockup ni Kisa cha Mwenyezi Mungu Mwenyewe. Ndugu zangu msife moyo

    Baba wabariki watumishi wako wafanye kazi pamoja na wewe. Sisi Watanzania tunasubiri Baraka zetu kutoka kwako. Kisa cha Samsoni kwenda kuoa Mke kwa Wafilisti Wazazi wa Samsoni Mzee Manoa walishangaa sana. Walidhani Mtoto wao wa Kiume amechanganhikiwa kwenda kuoa kwa Watesi wao. Lakini jambo...
  4. Waufukweni

    PreGE2025 Sheikh Mwaipopo: Tundu Lissu kukamatwa hajaonewa na hafai kuwa kiongozi

    Katibu wa Baraza la Habari la Waislamu Tanzania (BAHAKITA) Sheikh Mwaipopo amesema, Tundu Lissu kukamatwa hajaonewa bali ni kwasababu ya kuendesha siasa sizizo za kistaarabu huku akiongeza kuwa mwenyekiti huyo wa CHADEMA hafai kuwa kiongozi kwasababu hawezi kutumza siri. Pia, Soma: Sheikh...
  5. S

    PreGE2025 Samia na serikali yake watakula za uso waraka wa pasaka. Kumkamata Lisu Samia kafanya kosa la kiufundi

    Nyaraka za pasaka toka makanisa tofauti zitajaa masimango, vijembe na ukosoaji wa serikali ya rais Samia. Hii inatarajiwa kutokea kufuataia makosa ya kubambikiwa aliyopewa Lisu na kupelekea kukamatwa kwake. Kukamatwa kwa Lisu kutaifanya serikali ya Samia kuchukiwa zaidi na wananchi na hatimaye...
  6. M

    PreGE2025 Meseji ya Heche kwa wananchi kuwa "Wanataka Kumnyonga Lissu" Inasababisha wananchi wapay attention zaidi kwa ishu ya Lissu kufunguliwa kesi ya Uhaini

    Kwa kutumia uwezo wa uwasilishaji wa hali ya juu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa amejikuta akifanikiwa kuteka hisia za wananchi pale anapozungumzia kesi ya uhaini dhidi ya Lissu huku akitumia maneno "Wanataka kumnyonga Lissu, Wanataka kumuua Lissu". Maneno hayo yanasababisha wananchi...
  7. chiembe

    Kwanini Lema amekuwa kimya ghafla baada ya Lissu kukamatwa? Je, anaaminika kiasi gani ndani ya CHADEMA?

    Kwenye haya mambo kuna michezo mingi, usaliti, double dealing na kadhalika. Niliona Lemma alipotea katika thin air mara baada ya Lissu kukamatwa. Ilikuwa ni mfadhaiko au kuna jambo alikuwa analijua mapema Ila hakumwambia Lissu au hakutakiwa kumwambia. Ukisoma uso wa Lemma pale katika mkutano...
  8. BigTall

    PreGE2025 Askari watawanya Watu mkutano wa CHADEMA Songea, mabomu ya machozi yarushwa, Polisi wawabeba Heche na Lema

    Tumeshambuliwa na mabomu ya machozi ofisi yetu ya CHAMA SONGEA na ktk eneo ambalo tunapaswa kufanya mkutano leo. It is too Sad I can not even speak. Press Conference Soon. ongezea hii kwenye stori yako JOHN HECHE NA LEMA WACHUKULIWA KWA MAHOJIANO NA POLISI Mkurugenzi wa Mawasiliano na...
  9. R

    PreGE2025 Swali: Ujasiri wa kumburuta Tundu Lissu mnautoa wapi?

    Salaam, Shalom!! Wote tunajua masaibu yaliyomkuta TUNDU Lissu, Hadi tunavyoongea risasi Moja haijatolewa mwilini mwake. Hakuna askari Nchi hii asiyemjua TUNDU Lissu na Hali yake kiafya na ulemavu aliosababishiwa, mliowatuma askari kumburuta TUNDU Lissu mtetezi wa Haki za wananchi mnalenga...
Back
Top Bottom