lipa kwa simu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiForums Tanzania HOJA Mapendekezo ya maboresho ya mfumo wa "Lipa kwa Simu"

    Ukuaji wa huduma za malipo ya kidijitali mitaani ni hatua muhimu kuelekea uchumi usiotegemea fedha taslimu (Cashless Economy). Hata hivyo, ili kufikia malengo ya kitaifa ya ujumuishaji wa kifedha, kuna haja ya kufanya mapinduzi katika muundo wa sasa wa malipo. 1. Kuanzishwa kwa Namba Moja ya...
  2. JamiiForums Tanzania Usitegemee sana Lipa kwa Simu kwa Vodacom, Wakati wa Jioni! Utadhalilika

    Voda Voda Voda!! Inakuwaje kila ikifika jioni huduma za Mpesa zenu hazipatikani? Hili ni tatizo almost mwezi mzima sasa. Kila ikifika saa Moja jioni. Huwezi kufanya Malipo yoyote kwa Lipa Namba ya Voda. Nawahama!!! Vodacom Tanzania
  3. JamiiForums Tanzania Tozo za lipa kwa simu mitandao inakomesha wateja au mawakala

    Inavyo onekana mitandao ya simu haiko Regulated kumaintain balnce of fairness kati yake na mlaji pamoja na a mawakala (Agent) Hivi siku za karibuni ukianzia Dec 2022, Mitandao ya simu imekua ikiongeza tozo(charges) kwenye kulipia huduma kwanjia ya simu Kwa mfano kulipia Bidhaa yenye thamani ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…