kuvunja muungano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PostGE2025 Mawakili Boniface Mwabukusi na Mpale Mpoki wahojiwa kwa Makosa ya kutaka kuvunja Muungano, waachiwa bila masharti yoyote

    Mnamo Novemba 12, 2025 Wakili Mwandamizi Mpale Kaba Mpoki alipokea wito kutoka kwa Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Kipolisi Kawe. Wito huo ulimtaka afike leo asubuhi Novemba 13, 2025 katika kituo cha Polisi Mbweni. Wakili Mpoki aliongozana na mawakili wake ambao ni Raisi wa TLS Boniface...
  2. G

    Kama wazanzibar wakilazimisha kuvunja Muungano wajiandae kuwa mkoa wa Tanzania au Jimbo la TANZANIA hutuwezi kuruhusu magaidi waingie hapo karibu nasi

    Huo ndo uhalisia Zanzibar isingekuwa ndani ya Muungano ungekuta tayari Kuna vikundi vya kigaidi vimechukua utawala Tutakua wajinga kuwaachia ndugu zetu wanzibar wabaki bila ulinzi wa TANZANIA Kama viongozi wao Kwa ulevi TU wa madaraka watavunja Muungano Kwa namna yoyote hatakubali ulafi wao wa...
  3. Njia Pekee ya kuepuka viongozi kutoka Zanzibar ni kuvunja Muungano

    Ukweli kwamba mitaala ya elimu sio sehemu ya mambo ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unayo madhara makubwa sana kwa Watanganyika pale kunapokuwepo na viongozi wa siasa ambao ni Wazanzibari. Mitaala ya elimu ya Zanzibar haisemi kitu kuhusu tofauti kati ya dola ambayo ni jamhuri ya kiliberali...
  4. Historia ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    Aprili 26, 2024: Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuriy a Watu wa Zanzibar ziliungana na kuunda Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambapo Bunge la Tanganyika na Baraza la Mapinduzi lilithibitisha Mkataba huo Muundo wa Muungano Muundo wa Muungano wa Tanzania kama ulivyoelezwa katika...
  5. PreGE2025 Mwigulu Nchemba: Upinzani hawafai kabisa watauvunja Muungano

    "Inawezekana wenzetu hawa kwa tamaa za madaraka hawajatilia maanani suala hili (Muungano) viongozi hao wanafikiri kuwa lugha hizo za kuhatarisha muungano zina mashiko kwa wapiga kura wao na kana kwamba hawajawahi kunufaika na uwepo wa muungano, kuligawa Taifa kwa ajili ya kufanikisha ajenda ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…