(Tunafanya Siasa tusiyoijua)
Nimeona na kusoma sehemu kadhaa makada na mashabiki wa chama cha Chadema wakilaani taarifa inayokinasibu chama cha ACT wazalendo kuunga mkono juhudi za serikali katika miradi mbalimbali ya kimaendeleo.
Na niliiona nongwa hii tangu siku ya sherehe za mapinduzi...