Nawakilisha jamani tumeona watu wakiungama mfano Kanisa katoliki yaani mtu anaenda kuungama kwa padri na kusamehewa dhambi zake hivi hii imeakaje?
Hata rafiki kipenzi changu Tundu Lissu simba wa yuda naye huwa anaungama samahani lakini
Isa 59:2
lakini maovu yenu yamewafarikisha ninyi na Mungu wenu, na dhambi zenu zimeuficha uso wake msiuone, hata hataki kusikia.
Mit 28:9 SUV
Yeye aligeuzaye sikio lake asiisikie sheria, Hata sala yake ni chukizo
TUNAONA DHAMBI inakutenga na Mungu kutokumtii Mungu sheria za Mungu kunamfanya...
Tumewasikia na tumewaona mkitamba kwamba mnakuja Mwanza na mnaomba wa Mwanza na wana kanda ya ziwa wawapokee, hivi mnatuonaje wana Mwanza?
Kweli mnaamini kwamba wana Mwanza wana vichwa vya panzi kama nyie kiasi kwamba wamesahau kwamba Chadema mkiongozwa na makamu mwenyekiti wenu Tundu Lissu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.