Wakuu salam,
Vuguvugu la maandamano lilianza miezi michache iliyopita baada ya CHADEMA kuja na kampeni ya "No Reforms, No Reforms" huku Lissu akisema watawashawishi watanzania waingie barabarani siku ya uchaguzi na kupinga uchaguzi huo kufanyika mpaka pale mabadiliko ya sheria na katiba...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeelezwa kuwa bado kina nafasi ya kutia saini kanuni za maadili ya uchaguzi ili kipate fursa ya kushiriki uchaguzi.
Akizungumza katika Kongamano la Sheria lililofanyika jijini Dar es Salaam jana, Addo November kutoka Chama cha Wanasheria wa...
ado november
chadema
kanuni za maadili
kanuni za maadili ya uchaguzi
kuelekea 2025kushirikikushirikiuchaguzikushirikiuchaguzi2025uchaguziuchaguzi2025
wakili
Taarifa za ndani Viongozi wa Chadema wameeendelea Kumshauri Mwenyekiti wa Chama Chao Tundu Lissu kuhusu kushiriki Uchaguzi kwa njia yeyote kwa maana ni vigumu kuzuia Uchaguzi na watanzania wanaendelea na Shughuli zao kama kawaida.
Taarifa za zaidi zinasema Viongozi wa Dini wamekua wakishawishi...
Wakuu,
Tunaweza tusione umuhimu wa uchaguzi mkuu kwa sasa na kujiapiza kuwa hatushiriki, lakini kutoshiriki kwako uchaguzi mkuu ni kuhalalisha wale usiowapenda wapite waongoze tena miaka mitano ijayo, katika muktadha ndugu zangu watanzania, umekubali kuwa na kiongozi usiempenda kwa miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.