kushiriki uchaguzi 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    GE2025 Media kupiga kelele raia kugomea maandamano, Serikali na CCM wamepaniki kuwa safari hii Watanzania wapo serious?

    Wakuu salam, Vuguvugu la maandamano lilianza miezi michache iliyopita baada ya CHADEMA kuja na kampeni ya "No Reforms, No Reforms" huku Lissu akisema watawashawishi watanzania waingie barabarani siku ya uchaguzi na kupinga uchaguzi huo kufanyika mpaka pale mabadiliko ya sheria na katiba...
  2. Waufukweni

    PreGE2025 Wakili Addo November: CHADEMA bado wanayo nafasi kutia saini kanuni za maadili

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeelezwa kuwa bado kina nafasi ya kutia saini kanuni za maadili ya uchaguzi ili kipate fursa ya kushiriki uchaguzi. Akizungumza katika Kongamano la Sheria lililofanyika jijini Dar es Salaam jana, Addo November kutoka Chama cha Wanasheria wa...
  3. Gilbert A Massawe

    PreGE2025 CHADEMA wanapanga kushiriki Uchaguzi 2025

    Taarifa za ndani Viongozi wa Chadema wameeendelea Kumshauri Mwenyekiti wa Chama Chao Tundu Lissu kuhusu kushiriki Uchaguzi kwa njia yeyote kwa maana ni vigumu kuzuia Uchaguzi na watanzania wanaendelea na Shughuli zao kama kawaida. Taarifa za zaidi zinasema Viongozi wa Dini wamekua wakishawishi...
  4. Holoholo-Baba Kijacho

    PreGE2025 Kura yako ni ya thamani sana kwa miaka mitano ijayo, shiriki kikamilifu uchaguzi mkuu mwezi Oktoba

    Wakuu, Tunaweza tusione umuhimu wa uchaguzi mkuu kwa sasa na kujiapiza kuwa hatushiriki, lakini kutoshiriki kwako uchaguzi mkuu ni kuhalalisha wale usiowapenda wapite waongoze tena miaka mitano ijayo, katika muktadha ndugu zangu watanzania, umekubali kuwa na kiongozi usiempenda kwa miaka...
Back
Top Bottom