kununua hisa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bullshit

    Kwanini kubeti inaoneka haram lakini kununua hisa halali?

    Kusema ukweli mimi napenda kubet zaidi na nimependzi wa kubet magoli. Vile vile mimi Nani is hisa, ila hisa ndo ilianza kitambo kabla ya kubet ila kubet napenda sana kuliko kununua hisa. Shida inakujua ukimwambia mtu una bet anaona unafanya jambo la ajabu yaan anakushangaa kwanini una bet ila...
  2. didy muhenga

    Ushauri wangu kwa wanaotaka kununua hisa za CRDB: Case study of IT Outage

    Leo bei ya hisa moja CRDB ni shilingi 1150 ni muendelezo wa kuporomoka kwa bei za hisa za CRDB kutoka 1900. Najua kuna watu wanajiuliza au wanategemea ishuke zaidi au wanataka kununua saivi wkitarajia pandisho la bei kwa hisa hivyo market cap yao kuongezeka individually. Sasa swali linakuja...
  3. Godfrey- denis

    Viashiria vya msingi vya kuzingatia kabla ya kununua hisa za kampuni husika

    Moja ya swali muhimu la kujiuliza ni: “Nawezaje kuchagua kampuni bora ya kuwekeza?” Leo tuzungumzie qualitative fundamental factors ambazo ni muhimu sana kwa wawekezaji wa muda mrefu wanaotaka kupata ongezeko la thamani na pia magawio. Elewa Biashara ya Kampuni Wekeza tu pale unapofahamu...
  4. Gotze Giyani

    KERO Wiki ya pili hii tunashindwa kununua hisa za CRDB

    Wadau habarini za muda huu kuna tatizo gani mbona ni wiki 2 inaisha tunashindwa kununua Hisa za CRDB nimewasilina na DSE na broker Mara zaidi ya 5 wanasema shida ni kwenye market hivyo wataalamu wa uchumi na Hisa naombeni msaada wenu je vipi kuhusu Hisa za DSE nazo zinagawio kama za CRDB.Maana...
Back
Top Bottom